the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Hahaha Pameanza kuchangamkaKumbe kuna UYAM na NETO pameanza kuchangamka sasa.
Haswaa kunapambazuka kwa kasisanaaUmoja wa Vijana Wasio na Ajira Tanzania (UYAM) hii leo umesema ukosefu wa ajira kwa vijana umepelekea baadhi yao kujiingiza katika ubashiri huku wengine wakiuza miili yao kama njia ya kujipatia kipato.
Lawrent Kayaya, Mwakilishi wa UYAM akizungumzia hilo
View attachment 3259672
Kwahiyo na huyu watamkamata kwenda kumhojiUmoja wa Vijana Wasio na Ajira Tanzania (UYAM) hii leo umesema ukosefu wa ajira kwa vijana umepelekea baadhi yao kujiingiza katika ubashiri huku wengine wakiuza miili yao kama njia ya kujipatia kipato.
Lawrent Kayaya, Mwakilishi wa UYAM akizungumzia hilo
View attachment 3259672
Pongezi kwa raisi SAMIA hakuna kama MAMAUmoja wa Vijana Wasio na Ajira Tanzania (UYAM) hii leo umesema ukosefu wa ajira kwa vijana umepelekea baadhi yao kujiingiza katika ubashiri huku wengine wakiuza miili yao kama njia ya kujipatia kipato.
Lawrent Kayaya, Mwakilishi wa UYAM akizungumzia hilo
View attachment 3259672