kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 853
mnyate hayuko alitoka mwaka janaHivi Mnyate bado yupo simba?
Ahsante kwa kutufanya tucheke mkuuUmoja katika jamii yoyote ni muhimu sana kwa ajili ya kuwasilisha maoni na pia kusaidiana wanachama kwa hali na mali.
Nasi tunaanzisha umoja wetu, kwa kuanzia viongozi wetu wa muda watakuwa kama wafuatao
1. Haji Mwinyi - Yanga - Mwenyekiti
2. Ally Shomari - Simba - Mwenyekiti Msaidizi
3. Juma Abdul - Yanga - Katibu
Nawasilisha kwa mapendekezo zaidi katika kuboresha umoja huu.