Umoja wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) wakubali wito wa Simbachawene lakini wataka kuwepo na Ulinzi kwenye kikao

Ila waalimu bhana, yn wanataka ulinzi kutoka kwa mtu huyo huyo wanayemuhitaji 😂 labla wangesema wanakwenda na ulinzi wao wenyewe.
Sasa mtu umefeli usaili afu unataka ulinzi, nani amdhuru mtu anayepata 0% kwenye usaili 😂
Moja ya madai Yao ni kwa nini kuna watu waliomaliza nao waneajiriwa bila kufanyiwa usaili?
 

Nchi hii ndiyo tulikofikishwa na CCM. Yaani wananchi hawaamini kama wako salama hata wakiwa na viongoxi wa nchi.... God forbid.
 
NJaa zimeanza kufanyakazi - labda wapate ulizi toka kwa malaika.Hawa si waliishatoa tamko, wakae kimya wasubiri utekelezaji...
 
Moja ya madai Yao ni kwa nini kuna watu waliomaliza nao waneajiriwa bila kufanyiwa usaili?
Sasa mambo ya kuajiriwa bila usaili yameshapita, sasa hv lazima usaili.
 
Tayari Kimeshaumana......
 

Attachments

  • IMG_20250224_224902.jpg
    105.1 KB · Views: 1
unajikutaga special, kuna m2 wa kupata zero mitihani ya utumishi?? tena ualimu
Ila waalimu bhana, yn wanataka ulinzi kutoka kwa mtu huyo huyo wanayemuhitaji 😂 labla wangesema wanakwenda na ulinzi wao wenyewe.
Sasa mtu umefeli usaili afu unataka ulinzi, nani amdhuru mtu anayepata 0% kwenye usaili 😂
 
Za ndaani kabisa mwenyekiti wao Yuko under arrest huko geita na amekuwa kidnapped tangia mchana wa Leo !
 
Utoke Scotland yard.
 
Jiulize tu swali rahisi, hivi kwenye hixo multiple choices questions za utumishi hakuna miamba inyopiga 100 mbona hatuzioni, ndo utapata uhalisia wa hizo zero.
Una uhakika maswali yalikuwa n multiple choices?
 
Wanaenda kupotea tu, Kundi lenyewe litaonekana halina usajili rasmi ni la mtandaoni. Utasikia tu wakibanwa nani amewatuma . Wanataka kusikia ni chadema wamewatuma. Subiri mje msikie
Ujinga wa watawala wa CCM ni kama watakuwa na mawazo kama yako..

Tatizo sio walimu hao. Tatizo ni mfumo mibaya iliyosababishwa na sera mbovu za kiuchumi za CCM na hivyo kuathiri na kuyumbisha fursa za kazi na ajira kwa wananchi wote. Waambieni wenye maamuzi washughulikieni hilo....!!

Kutisha wakosoaji wa sera na mipango mibovu ya serikali sio suluhu na haitaondoa tatizo....

Suluhu ni kusikiliza hoja na kuzipima ktk ukweli wake na kisha kuchukua hatua sahihi za kiutawala na maamuzi...

Serikali iache mara moja kutisha watu badala ya isikilize watu na kushughulikia matatizo yao na kama ni lazima na ni muhimu, basi mifumo ya utendaji, kisheria na kisera irekebishwe...
 
 
Kwa wauza ubongo wa kijani?wakishasajiliwa tu wanaporo ubongo wakiaminishwa hawata uhitaji tena.Rejea wanaojiita chawa wao?
 
Kila la kheri kwao, wajinga tu na wapuuzi ndio watakao wabeza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…