Ndiyokumbe chaga barbie nawakubali sana nyie watu, una mchumba?
tumfanyaje huyo sasa?Ndiyo
Hakuna cha kumfanyatumfanyaje huyo sasa?
hahaha basi na mimi sikutaki mpaka umpotezeeHakuna cha kumfanya
Halafu hata sina mpango wa kumpotezeahahaha basi na mimi sikutaki mpaka umpotezee
binti unapiga teke bakuli la dhahabu?Halafu hata sina mpango wa kumpotezea
Ninalo tayari bakuli hilobinti unapiga teke bakuli la dhahabu?
Vipi mamii unahusika?Jamaniiiii
haya..usije ukanililia badae, ngoja nitafute maranguNinalo tayari bakuli hilo
basi umekosa bahati mahsusi ya kuolewa na mimi..kingine nachowapendea wachaga wanajielewa sana, ukimuoa huwezi kubaki na umaskini,wanapenda vitu vizuri halafu wanajua kupika kama wasambaa
Naanzaje kukulilia kwa mfano wakati nimefikishwa tayarihaya..usije ukanililia badae, ngoja nitafute marangu
unatukana mamba wakati bado hujavuka mto? au unatukana mkunga wakati hujazaa??Naanzaje kukulilia kwa mfano wakati nimefikishwa tayari
Ha haaa shindwaaaaunatukana mamba wakati bado hujavuka mto? au unatukana mkunga wakati hujazaa??
utalia na kusaga meno
mnatakaga mdanganywe ndo mkubali..ngoja niandae uongo mpya ambae hujawahi kuusikia popote, lazima unase..bora ungesema we msandawe tuHa haaa shindwaaaa
Wakibosho wanashida gani kwani...kuna Vitu vingine vilitokea Zamani kwenye hayo makabila lakini kutokana Na watu wa zamani kufa Na maendeleo katika makabila tajwa mambo mabaya ambayo Wanawake hao huisiwa wanayo asilimia Kubwa siyo kweli Na imebaki tu historia.Hahahahahahaaaa, inabidi nijiunge asee. Ingawa naona umewatenga waliooa Kibosho, wenzetu pia wale
Hawa matatizo yao ni 'special'Chama cha udhaifu hicho matatizo ya ndoa muyaundie chama ndo akili gani sasa kila ndoa Ina matatizo yake
ila mabinti wa kichaga wamejaliwa jaman