Aaah wapi hamjapenda bado nyiePesa tunazo lakini ya kumpa tunaisikilizia
Kutunza nini ndugu yangu?utatunza nini sasa mjumbe
😊😊😊waaasi wamekikimbiaaa chama😂😂😂Inavyoonekana UWABATA ndo Chaputa na Mabaharia walioasi na kuamua kujitenga.
Umepeta kuraAliniomba vocha ya 500 nikafuta namba yake na kwenda kumshtaki police kwa kosa la kutaka kunitapeli.
Ndugu wajumbe naombe kula zenu kuwa mwenyekiti wa UWABATA.