Umoja Wa Wanaume Tunatoa Tamko Hili Kwa Wanawake Woote..!!

eheeeeeeee!!! kama hampendi hayo magagulo yao peleka guest wayaache reception wahudumu wajifaidiepo
 
[emoji160]
ohooo jaman irk, mie nikiacha hizo sina shida maana ni wangu. kumbuka kasema katumwa na sio yeye. wamemtafuta mwanaume mwenye gats za kusema mambo wakamuomba awawakilishe.

please note that.

STUNTER unanisema mie? njoo huku tafadhali uwaondolee mashaka
 
Bae irk na Daby wanaujua ukweli, sema tu wanataka wakuzingue
 

huwa nakukubali sana wewe ni SHABABI kwelikweli. unawachana live bila kubana pya
 

huwa nakukubali sana wewe ni SHABABI kwelikweli. unawachana live bila kubana pua
 
Pole sana Mkuu ila unaoneka umuasherati sana aisee maana unaandika umejiamini kabisa na uzoefu wa kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…