JamaniChristian Bella anakaribia 50 ila ukimuuliza eti ana 31
Kila mwaka yeye anasherekea 28yrsApparently wema sepetu ni 26 or 27 hivi .. i rem mange kimambi saying she lied about her age lool.. lets say she aged fast kutokana na maisha anayo ishi ndo kimemzeesha mapema pengine na vyakula
Atakuwa anagonga 67..Msisahau Na umri wa Le Mutuz a.k.a W. J. Malecela
Harmorapa session twoIla huyu wema huyu,siku nikipata pesa lazima ni date nae hata akiwa kasha zeeka
VP mkuu nimekosea au maana nilisikia mahojiano siku moja harmorapa akiapia kama huyu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ajabu la 9 la DuniaJuzi kati alifanya press kasema ana 22
Amepotezwa kabisa na dk shikaHarmorapa ndio Ndoto zake hizo mkuu anazoota kila siku haujakosea ata kidogo
Duh tunashare birthday na hili jinga mungu wangu