Umri Elekezi wa Mastaa wote Wa Bongo..!

Umri Elekezi wa Mastaa wote Wa Bongo..!

Amepotezwa kabisa na dk shika
Na hii ya babu seya na papii sijui kama atakuja rudi hata robo ya pale awali
Hawezi tena mkuu sasa hivi kiki kapokea babu sea kutoka kwa dr shika
 
Dah!! wasanii waba bahatisana kila mwaka hufanya sherehe za birthday lakini umri wao unaganda hapo hapo, Haoungezeki kama wa binadamu wa kawaida
 
Dah!! wasanii waba bahatisana kila mwaka hufanya sherehe za birthday lakini umri wao unaganda hapo hapo, Haoungezeki kama wa binadamu wa kawaida
Hao ni kama demon hawaongezeki mkuu ata kwa bakora
 
Nakumbuka mwaka 2011 au 2012 kwenye gazeti moja la udaku lulu alikuwa anasherehekea birthday ya miaka 18...but baada ya majanga ya kanumba akarudisha miaka nyuma hadi 17 ili kesi imuendee vizuri aonekane alikuwa anabakakwa... sasa jumlisha 18 ya 2011 hadi 2017 uone
Correct.....nilimuona 2012 akihojiwa na Salama kwenye mkasi akathibitisha kufikisha 18....
Sasa 18+5=23 minimum....
 
Back
Top Bottom