KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23]
hahahahaMsisahau Na umri wa Le Mutuz a.k.a W. J. Malecela
Nilimsikia akiongea kbsa ,,kilikua kipindi hiko Joyce kiria anatangaza kipindi kinaitwa bongo movie,,ray alisema wasanii wa zamani hawana mvuto,,ndo akawa anatokwa povu ,,akasema mi sa ivi Nina 37 lakini Niko km Nina 18 ,,,sidanganyi mkuu ,,Du mkuu hauna ata huruma unamkandamizia tu.
Kwa hiyo sasa hivi ana kama 47Nilimsikia akiongea kbsa ,,kilikua kipindi hiko Joyce kiria anatangaza kipindi kinaitwa bongo movie,,ray alisema wasanii wa zamani hawana mvuto,,ndo akawa anatokwa povu ,,akasema mi sa ivi Nina 37 lakini Niko km Nina 18 ,,,sidanganyi mkuu ,,
Nakumbuka kabisa mwaka juzi alikuwa na 67Mkuu mkuu muonee huruma basi
Le mutuz atakuwa na umri wa wastaafu yaani 60 yrs hakosiMsisahau Na umri wa Le Mutuz a.k.a W. J. Malecela
Eeee,,hahaaaa,,mamake 60Kwa hiyo sasa hivi ana kama 47
Nakumbuka mwaka 2011 au 2012 kwenye gazeti moja la udaku lulu alikuwa anasherehekea birthday ya miaka 18...but baada ya majanga ya kanumba akarudisha miaka nyuma hadi 17 ili kesi imuendee vizuri aonekane alikuwa anabakakwa... sasa jumlisha 18 ya 2011 hadi 2017 uoneLulu bado young tu sema alikuwa star tangu mtoto