Kuna shida inamkuta ndugu yangu wa karibu ana miaka arobaini na tano kwa sasa ila bado anaendele kupata hedhi, na alikaaga kwa muda wa miezi isiyopungua nane bila kupata hedhi lakini now imemrudia na isiyoeleweka.
Menopause inaanza 45yrs +++ lakini inatofautiana kutoka kwa mtu na mtu...na kuna wengine wanapatwa na hali kama uliyoitaja lakini itapotea tu taratibu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.