Umri gani sahihi wa kukoma hedhi?

Umri gani sahihi wa kukoma hedhi?

Gyeoul

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2015
Posts
3,758
Reaction score
5,365
Kuna shida inamkuta ndugu yangu wa karibu ana miaka arobaini na tano kwa sasa ila bado anaendele kupata hedhi, na alikaaga kwa muda wa miezi isiyopungua nane bila kupata hedhi lakini now imemrudia na isiyoeleweka.

Msaada wenu.
 
Menopause inaanza 45yrs +++ lakini inatofautiana kutoka kwa mtu na mtu...na kuna wengine wanapatwa na hali kama uliyoitaja lakini itapotea tu taratibu!
 
Back
Top Bottom