Watoto wakipishana sana kuna athari kimalezi. Mtoto anayepata mdogo wake after say 5 years ni sawa na mtoto aliyezaliwa peke yake. Anakuwa spoiled kind of, na anaweza kumchukia mdogo wake. Kwa hiyo nakubaliana na wanaosema watoto wanatakiwa wasipishane sana ili wawe wanacheza pamoja na kujifunza ku share. Nimeshaona design zote mbili (waliopishana sana na waliokaribiana) na nadhani ni vizuri watoto wasipishane sana. Faida nyingine ni kumaliza biashara ya kuzaa na kuanza ku enjoy life. It is real hard kwa mama kufikiri kuzaa baada ya muda mrefu kupita. Kuzaa ni kazi bora mtu umalize maisha mengine yaendelee, including career development.