nmekuelewa sana mkuu🙏"Pesa ya kujikimu mimi pamoja na familia yangu"
Wengi majibu yao huwa ya hivi, na hii huwa inasababishwa na ugumu wa maisha tunaopitia kwa muda mfupi hivyo kutufanya tuamini PESA ndiyo SULUHISHO.
Kuna mengi katika maisha. Jaribu kujiuliza ukishapata hizo pesa za KUJIKIMU, nini kingine zaidi ambacho utatamani kukikamilisha.
"PESA YA KUJIKIMU" , hii LAZIMA utapata. Fikiria zaidi What next after that.
broo apo umeongea kitu nimekuelewa sana maana huwa na tatizo la kujifananisha na wengne kwamba nikiwa kama yule shida zitaisha anyways ahsante sana mkuu🙏Maisha bora ni mtazamo wako, maisha bora kwako si maisha bora kwa mwingine kila mtu ana tafsiri yake mwenyewe acha kujifananisha na wengine tafuta kile kinachokupa amani na furaha ukifanikiwa kukipata utakuwa na maisha bora tayari, ww kuwa na 100m bank kwako yaweza kuwa mafanikio ila kwa mwingine isiwe hivyo ikawa anavyo pia ila bado hana amani na furaha kulingana na hitaji lake la ndani si hela.... Nikupe mfano wangu binafsi ni 28yrs ila akilini sina maisha bora licha ya kuwa na vingi na mtaji ambao kijana yyt wa rika langu au zaidi ni ndoto kwake ila bado siyafurahii maisha 100% kulingina na tafsiri ya maisha bora kwangu ni tofauti na wengine
kwa sasa bado nasoma naamini mpka nikimaliza nitakua nimejua what next after that kutokana na mawazo yenu wakubwa zangu🙏"Pesa ya kujikimu mimi pamoja na familia yangu"
Wengi majibu yao huwa ya hivi, na hii huwa inasababishwa na ugumu wa maisha tunaopitia kwa muda mfupi hivyo kutufanya tuamini PESA ndiyo SULUHISHO.
Kuna mengi katika maisha. Jaribu kujiuliza ukishapata hizo pesa za KUJIKIMU, nini kingine zaidi ambacho utatamani kukikamilisha.
"PESA YA KUJIKIMU" , hii LAZIMA utapata. Fikiria zaidi What next after that.
Wazazi watengeneze maisha bora kabla hawajakutungisha,ukitungishwa na kuzaliwa uyakute maisha bora na mpaka unakua na kubalehe uwe na maisha bora.nifafanulie kidogo apo
Watafute kwa nguvu sana maana mtoto akilelewa mazingira duni hata darasani wanatusumbua kuazimaazima kalamu.hilo jambo ni zito kidogo kwa mfano wazaz wakiwa na hali duni ndo wasiweze kupata mtoto