mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
Umri wangu ni miaka 34 kwa sasa, Nina kazi as mwalimu, nafanya biashara na kilimo sana, nina nyumba zangu nilizojenga na nyingine za urithi, Nina mtoto mmoja namhudumia, mzazi mwenzangu nilishamtolea mahali yote kifupi kwa maisha ya kitanzania kwangu si Haba sana.
Changamoto niliyonayo kubwa kwa sasa sijisikiii kabisa kuishi na mwanamke najikuta muda mwingi nawaza fedha na Mali(kifupi nipo busy sana na kazi zangu ), huko nyuma nilikuwa kicheche sana na hadi nafika umri huu sijawahi kuishi na mwanamke kwangu zaidi ya siku mmoja(afike apigwe aondoke), mzazi mwenzangu aliponisumbua sana kuwa anataka tuishi as mke na mume nilimpeleka kuishi mmoja ya nyumba zangu.
Huwa nakwenda hapo Mara moja moja wikiend na Siku moja moja za kazi nikiwa free napumzika nakwenda hapo,kifupi sina call kabisa ya kuishi na mwanamke seven days of a week, mbaya zaidi mzazi mwenzangu kanipa masharti hatobeba mimba hadi tuishi wote, na Mimi natamani watoto wingine sana Ila kuishi na mwanamke sioni wito kabisa nifanyeje, najikuta nawaza kuzaa na mwanamke mwingine nimpe fedha anizalie tu lakini habari ya kupiga kambi pamoja haikaai akilini mwangu, wadogo zangu wanaoa , marafiki zangu wanaoa ila Mimi naona wito sina kabisa.
Nifanyeje maana naanza kuiogopa hatma yangu
Changamoto niliyonayo kubwa kwa sasa sijisikiii kabisa kuishi na mwanamke najikuta muda mwingi nawaza fedha na Mali(kifupi nipo busy sana na kazi zangu ), huko nyuma nilikuwa kicheche sana na hadi nafika umri huu sijawahi kuishi na mwanamke kwangu zaidi ya siku mmoja(afike apigwe aondoke), mzazi mwenzangu aliponisumbua sana kuwa anataka tuishi as mke na mume nilimpeleka kuishi mmoja ya nyumba zangu.
Huwa nakwenda hapo Mara moja moja wikiend na Siku moja moja za kazi nikiwa free napumzika nakwenda hapo,kifupi sina call kabisa ya kuishi na mwanamke seven days of a week, mbaya zaidi mzazi mwenzangu kanipa masharti hatobeba mimba hadi tuishi wote, na Mimi natamani watoto wingine sana Ila kuishi na mwanamke sioni wito kabisa nifanyeje, najikuta nawaza kuzaa na mwanamke mwingine nimpe fedha anizalie tu lakini habari ya kupiga kambi pamoja haikaai akilini mwangu, wadogo zangu wanaoa , marafiki zangu wanaoa ila Mimi naona wito sina kabisa.
Nifanyeje maana naanza kuiogopa hatma yangu