rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,420
Jamani umri wangu naona kama unasogea taratibu,nina miaka 42 lakini sijaoa bado,lakini niliishi na mwanamke miaka ya nyuma tukazaa lakini tulipoachana mpaka leo sijafikiria kuoa tena,lakini nahisi nimejiandaa kupambana na uzee peke yangu,kuna ushauri?