Umri wa kugombea urais wa Tanzania urekebishwe

Umri wa kugombea urais wa Tanzania urekebishwe

Equitable

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2021
Posts
2,017
Reaction score
5,462
Wana jamvi. Napendekekeza umri wa kugombea urais wa jamh. Tanzania uwe kati ya miaka 25 hadi 70.

Hii ni baada ya kuona kuna vijana wanaweza kuwa marais kwa umri husika maana wazee wanazingua.

Angalia Biden na Putin wanavyotishia uhai wa dunia. Hii ni sababu wao wamekula vyingi hivyo hawana vya kupoteza.

Angalia Mugabe alivyoiharibu nchi.

Lakini pia vijana kama wana haki ya kuchagua vilevile wana haki ya kuchaguliwa.

Hata Nyerere alikuwa wazri mkuu wetu akiwa kijana 39. Lumumba alikuwa rais 32.

Urais ni taasisi siyo mtu. Maamuzi yanakuwa ya kitaasisi.
 
Wana jamvi. Napendekekeza umri wa kugombea urais wa jamh. Tanzania uwe kati ya miaka 25 hadi 70.

Hii ni baada ya kuona kuna vijana wanaweza kuwa marais kwa umri husika maana wazee wanazingua.

Angalia Biden na Putin wanavyotishia uhai wa dunia. Hii ni sababu wao wamekula vyingi hivyo hawana vya kupoteza.

Angalia Mugabe alivyoiharibu nchi.

Lakini pia vijana kama wana haki ya kuchagua vilevile wana haki ya kuchaguliwa.

Hata Nyerere alikuwa wazri mkuu wetu akiwa kijana 39. Lumumba alikuwa rais 32.

Urais ni taasisi siyo mtu. Maamuzi yanakuwa ya kitaasisi.
KWA TANZANIA Urais ni MTU ndio maana Rais amepewa Madaraka Makubwa na Ana Kinga ya kutoshtakiwa
 
Fikiria watu kama Sabaya, Hapi, Makonda , Gambo, Mnyeti, n.k wangekuwa ikulu. Hali ingekuwaje?

Umri wa miaka 40 ni sawa. Urais siyo bongo flava.
 
Wana jamvi. Napendekekeza umri wa kugombea urais wa jamh. Tanzania uwe kati ya miaka 25 hadi 70.

Hii ni baada ya kuona kuna vijana wanaweza kuwa marais kwa umri husika maana wazee wanazingua.

Angalia Biden na Putin wanavyotishia uhai wa dunia. Hii ni sababu wao wamekula vyingi hivyo hawana vya kupoteza.

Angalia Mugabe alivyoiharibu nchi.

Lakini pia vijana kama wana haki ya kuchagua vilevile wana haki ya kuchaguliwa.

Hata Nyerere alikuwa wazri mkuu wetu akiwa kijana 39. Lumumba alikuwa rais 32.

Urais ni taasisi siyo mtu. Maamuzi yanakuwa ya kitaasisi.
Ni jambo jema kama kuna mifumo na taasisi imara za kudhibiti taasisi ya URais.
 
Back
Top Bottom