Mtimti
JF-Expert Member
- Feb 23, 2008
- 942
- 647
Mtoto wa kike anawahishwa kukaa kuliko wa kiume.....wakike unaweza kumuanzisha hata akiwa na miezi mitatu taratibu,mpk akifika miezi sita anakuwa ameshakaza ...lkn wa kiume unaanza akiwa na miezi sita kumkalisha.
watoto wenye afya hasa wa kiume wanapenda sana kukaa mapema(hawapendi kubebwa kitoto toto) lakini usiwafuatishe wanavyotaka
watoto wenye afya hasa wa kiume wanapenda sana kukaa mapema(hawapendi kubebwa kitoto toto) lakini usiwafuatishe wanavyotaka