Umri wa mtoto kuanza kutembea

Umri wa mtoto kuanza kutembea

kunautofauti wowote wa umri wa kutembea kati ya mtoto wa kiume na wa kike? ni umri gani mtoto akifikisha kabla ya kuanza kutembea hatotembea tena?

Nimewahi kuambiwa na daktari wa watoto kwamba watoto wa kike huwahi zaidi kutembea kuliko wa kiume.

Sasa sina uhakika sana kama kuna sababu za kisayansi nyuma yake au ni anecdotal observation tu.

Lakini Kisura wangu alianza kutembea akiwa na miezi sita tu!
 
kunautofauti wowote wa umri wa kutembea kati ya mtoto wa kiume na wa kike? ni umri gani mtoto akifikisha kabla ya kuanza kutembea hatotembea tena?
Vumilia mkuu, hakikisha anakula, mpime minyoo na umpe dawa ya minyoo, mchanganyie glucose lwenye maji Yale ya kunywa, mchek wingi wa damu kama IPO below 70 hakikisha unaipandisha KWA kumnunulia mboga au ulizia sokon Luna maua flan HV ya kuongeza damu, msagie anywe ...hakikisha unapofanya hayo usimpe maziwa ya chupa KWA ck mbili za doz
 
I can imagine trauma munayopitia kama wazazi.

We acha tu, Mi now nna mtt wa miezi miwili anafika mpk 3 days hapati choo. Basi siko hadhir kwa kweli. Sema napata moyo naambiwa wtt wengi wanakuwa Na Hilo tatizo wakiwa around this age.
 
We acha tu, Mi now nna mtt wa miezi miwili anafika mpk 3 days hapati choo. Basi siko hadhir kwa kweli. Sema napata moyo naambiwa wtt wengi wanakuwa Na Hilo tatizo wakiwa around this age.

pole ndugu yangu
 
Kuna uwezekano pia tabia zenu wewe na mkeo. Kama mkifanya tendo la.ndoa mkalala bila kuoga nalo ni tatizo sugu kwa watu wengi. Au labla umekwisha mpa mimba nyingine mama yake nalo ni tatizo. Vyema awe na kitanda chake la sivyo atakuwa fundi viatu

Hahahahaahaha huu ni uongo mtakatifu...hakuna connection kabisaaaa
 
We acha tu, Mi now nna mtt wa miezi miwili anafika mpk 3 days hapati choo. Basi siko hadhir kwa kweli. Sema napata moyo naambiwa wtt wengi wanakuwa Na Hilo tatizo wakiwa around this age.

Anakula nini? Mtoto wa umri huu inabidi anywe maziwa ya mama tu! Ikishindika.a sana basi maziwa ya formula...isijekuta mshaanza kumpa ugali na Coca-Cola
 
Hongereni jamani kupata watoto na poleni kwa hayo yanayowakuta Mungu afanye wepesi. Mimi na ujauzito miezi 7, naumwa na tumbo chini ya kitovu sana hospital wanasema ni kawaida nimeamua kutulia nyumbani kunywa Panadol tu kutuliza maumivu. nateseka Mimi Mungu nisaidie mja wako.
 
We acha tu, Mi now nna mtt wa miezi miwili anafika mpk 3 days hapati choo. Basi siko hadhir kwa kweli. Sema napata moyo naambiwa wtt wengi wanakuwa Na Hilo tatizo wakiwa around this age.
Kumbe ni stage, toto angu pia alishawahi kua hivo anakaa siku 4 hadi 6 bila kupupu
ila choo kinakua cha kawaida tu, na hiyo hali ikaisha yenyewe
 
Anakula nini? Mtoto wa umri huu inabidi anywe maziwa ya mama tu! Ikishindika.a sana basi maziwa ya formula...isijekuta mshaanza kumpa ugali na Coca-Cola

Ananyonya ziwa nampa Na maziwa ya formula. S26 gold.

Basi tu, kwa Baby huyu ndio nimeona hili tatizo. Wengine haikuwa hivyo.

Ugali Na coca-cola? Lol, ntakuwa Na wazimu nkifanya hivyo.
 
Kumbe ni stage, toto angu pia alishawahi kua hivo anakaa siku 4 hadi 6 bila kupupu
ila choo kinakua cha kawaida tu, na hiyo hali ikaisha yenyewe

Yah, hata wa kwangu akipata pooh inakuwa ya kawaida Na Wala haonekani Kama anaumwa Na tumbo. Ni hivyo anazuia tu for some days.
 
Hebu cheki na hii article:

Your child doesnt walk yet

What you may notice


If your child continues to crawl, creep, or scoot on his bottom while other children his age are walking, you may be concerned about his motor development. Not walking at 18 months could fall into the "unusual but possibly normal" category, says Andrew Adesman, chief of developmental and behavioral pediatrics at Schneider Children's Hospital in New York, but it could also signal that something is wrong.

What causes it


If your toddler is developing normally in other ways, it might be that she just hasn't had enough encouragement or opportunity.
"I always look at familial or environmental factors," says physical therapist Gay Girolami. "You might find you have a really busy family and the child spends a lot of time in a baby exerciser so she's learned to bounce around on her tiptoes. When she gets to the standing stage, she has trouble because her trunk and pelvic muscles have not been worked enough." (Some experts recommend against using baby exercisers for this reason.)
The same goes for baby walkers, which sound like they'll help a baby learn to walk but do the opposite – and they're dangerous. The American Academy of Pediatrics advises parents not to use baby walkers because they're unsafe and don't help babies develop the muscles needed to master the skill of walking.
In addition, there are other environmental factors to consider. "Most kids desperately want to walk – but a child who's carried everywhere in a backpack or car seat and handed everything she desires may not see much of a reason to exert herself," says Girolami.
You can find other ways to encourage your child to develop his walking skills.
Both low muscle tone (hypotonia) and high muscle tone (hypertonia) can make walking difficult. If muscle tone is too low, a child will have a hard time gaining balance and control over gravity because her limbs are floppy. If her muscle tone is too high, or if certain muscle groups are overactive, she may have stiff limbs and a hard time sustaining balance. In rare cases, doctors diagnose hip problems when a child doesn't walk on time.
Late walking can also be associated with developmental issues such as an intellectual disability.

What your doctor may recommend


If you're concerned that your child is late to start walking, the first step is a medical examination, including a neurological exam and an assessment of your child's reflexes, posture, and muscle tone. The doctor will also take into account other developmental issues including language, fine motor, and social skills.
"Late walking doesn't usually come out of the blue," Adesman says. "A child who walked late probably also sat late and crawled late – it's probably not the first missed milestone you'd notice." For this reason, your doctor will probably look at your child's walking in the context of other skills and try to figure out where he is on the continuum of motor development.
If your child's doctor notices that your child has stiff or floppy limbs, she may refer you to a pediatric neurologist (a doctor who specializes in children's brain development). If there are delays in other areas, such as your child's language or fine motor skills, she may refer you to a developmental pediatrician. If a cause is identified, appropriate care could range from physical therapy to improve strength and flexibility or surgery to correct a physical problem.
If your child's doctor can't identify a reason your toddler's not walking, she may simply recommend some games and play periods that involve encouragement and practice and have you come back for a follow-up exam at a later date. She might also recommend physical therapy, which would allow a trained professional to closely monitor your toddler's progress.
 
Kuna uwezekano pia tabia zenu wewe na mkeo. Kama mkifanya tendo la.ndoa mkalala bila kuoga nalo ni tatizo sugu kwa watu wengi. Au labla umekwisha mpa mimba nyingine mama yake nalo ni tatizo. Vyema awe na kitanda chake la sivyo atakuwa fundi viatu

Foolish words in your last sentence shows how foolish you are.
 
mwanangu ana umri waa mwaka na miezi saba, anatembelea gari la mbao, ukimshika vidole anatembea kukufuata lakini bado hawezi kusimama wala kutembea peke yake, kunatatizo, na kama kunatatizo nifanyeje? mwanangu wa kwanza

Nikupe hongera kwa kupata mtoto wa kwanza, lakini niseme pole kwa changamoto hiyo. Ndugu yangu, naomba nikutie moyo kwamba kama anaweza kuendesha gari na kutembea ukimshika vidole, huyo atatembea tu, muda wake bado. Binafsi nina mwanangu ambaye alinipa changamoto kama yako, kusema kweli kichwa kilipata joto, na wife ndo kachanganyikiwa kabisa. Ilinibidi niwaone madaktari kadhaa, na wote walinishauri kwamba nisubirie miezi michache atatembea na walisisitiza kuwa watoto wanatofautiana katika ukuaji. Zaidi sana waliniuliza ameanza kukaa akiwa na miezi mingapi? Nikawaambia miezi 6. Simply, wakaniambia nianzie hapo,,,,,,, katika umri tarajiwa wa mtoto kufikia hatua flani, basi niongeze miezi hiyo aliyo chelewa kuanza kukaa(miezi 3?)

Namshukuru Mungu, mwanangu amekuja tembea akiwa na miaka miwili na miezi 5.
Kwa sasa yuko vizuri kabisa.
 
Inaonekana ulikuwa unambeba sana ila sio tatizo sababu kuna mtoto wa rafiki yangu alitembea akiwa na miaka miwili jaribu kumuacha muda mwingi akiwa anaendesha hilo gari la mbao ukiwa umekaq kwenye kochi jaribu kuwa unamuita akufuate ulipo kwa kutumia hilo kochi atakuwa anapiga hatua pia kama utaweza mnunulie gari la dukani huenda hilo gari la mbao anaogopa kudondoka nalo
 
Back
Top Bottom