Umri wa uzee lazima uitwe mchawi au mwanga

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Hii tabia ya kuwaita wazee ni wachawi au wanga haijaanza juzi ila imekuzwa na vijana kuona wazee ndio washiriki wa mambo hayo.

Je ukifika umri wa uzee na wewe utakubaliana kuitwa mwanga au mchawi.

Tukomeshe:

 
Ni ukosefu wa maadili, enzi zetu wazee waliheshimika sana kiasi cha kuonekana ni nusu mungu. Umri mkubwa uliwaheshimisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…