Kaka yake shetani JF-Expert Member Joined Feb 1, 2023 Posts 5,771 Reaction score 14,732 May 8, 2024 #1 Hii tabia ya kuwaita wazee ni wachawi au wanga haijaanza juzi ila imekuzwa na vijana kuona wazee ndio washiriki wa mambo hayo. Je ukifika umri wa uzee na wewe utakubaliana kuitwa mwanga au mchawi. Tukomeshe:
Hii tabia ya kuwaita wazee ni wachawi au wanga haijaanza juzi ila imekuzwa na vijana kuona wazee ndio washiriki wa mambo hayo. Je ukifika umri wa uzee na wewe utakubaliana kuitwa mwanga au mchawi. Tukomeshe:
LOTH HEMA JF-Expert Member Joined Dec 6, 2015 Posts 18,611 Reaction score 27,615 May 8, 2024 #2 Ni ukosefu wa maadili, enzi zetu wazee waliheshimika sana kiasi cha kuonekana ni nusu mungu. Umri mkubwa uliwaheshimisha
Ni ukosefu wa maadili, enzi zetu wazee waliheshimika sana kiasi cha kuonekana ni nusu mungu. Umri mkubwa uliwaheshimisha