Umri wake halisi

so what'z da problem,from ur maths point of view?may b u r flaglante' delicto.
 
Mheshimiwa nyanya mbichi ebu omba radhi na uombe huu mjadala ufungwe, lete ishu za msingi
 
Inshalah jamani nimekosea kwa hili naomba nikiri kosa,nisamehewe kwa hili,ku-mradhi.
Kama kuna uwezekano mod auundoe uzi huu.
Sioni tatizo la uzi wako ! Hata mimi nilihoji na kuchangia mara nilipoona umri wake. Na uelewa wangu ilikataa hizo number, chukulia SK alishiriki Tamthilia za Kaole kwa miaka 5, kisha Bongo movie miaka 5 (mpaka kupata umaarufu !) utapata miaka 10. Ukitoa miaka 28, utakuta - Kaole kaanza na miaka 18, ambacho si kweli ! Sasa kwanini tushirikishwe kwenye uongo ?!?!!!
 
Mambo mengine ni kukosa kazi ya kufanya sasa hiyo yote ni ya nini ndugu yangu, mwacheni jamani upumzike kwa amani,sio vizuri
 

Watanzania tuache UNAFIKI wa kijinga, Nyanya Mbichi ana haki zote za kuuliza habari hii. Sisi tunabaki tuwaache marehemu, umbea, kosa lake nini? Ndiyo sisi tukifika makaburini tunamsifia marehemu kumbe tunajua amekufa kwa kupigwa na mgoni wake au ujambazi. Hivi tutaacha lini?

Ma celebrities wengine wanatengenezewa mpaka documentaries au wanaandikiwa biography au vitabu wakishakufa. Who is Kanumba by the way? Nyerere hapa kila siku anajadiliwa, Kanumba ni nani asitajwe?

Kama mmechoka jamani mkalale muacheni mtu na uzi wake ama vipi upotezee!
 

Akhsante sana Ally Kombo. Watanzania tunapenda unafiki, kama unapenda movie zake huko huko mambo ya kusema marehemu asijadiliwe yametoka wapi?
 
Mheshimiwa nyanya mbichi ebu omba radhi na uombe huu mjadala ufungwe, lete ishu za msingi

Kaanzishe uzi wako wa hoja za msingi. Wewe Mmary, mleta usi amwombe nani radhi? Marehemu nduguze marehemu au wewe? Stop it please, kama unataka kumsifia nenda kwenye kaburi lake ukamsifie huko. Kama hii kwako si hoja basi potea!
 
Kaanzishe uzi wako wa hoja za msingi. Wewe Mmary, mleta usi amwombe nani radhi? Marehemu nduguze marehemu au wewe? Stop it please, kama unataka kumsifia nenda kwenye kaburi lake ukamsifie huko. Kama hii kwako si hoja basi potea!
Humu JF kuna watu wanaifanya kama tunasimamia mitambo ya Nuclear ! Wakati hii ni social media. Angalia uzi kama una mantiki then jadili, bado sikubaliani na umri wa SK ! Kama vipi comment: Napita wadau!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…