Umuhimu na hasara za kuwa Group 0 negative

Wadau naomba kupata Elimu ya Jambo hili!
Ivi kati ya group O-Positive na O-Negative which is the best blood ambayo inanguvu zaid za kuhimili maradhi mbali mbali ikiwemo Ukimwi.
na ni ipi ambayo Cell zake hazina Rhesus-factor ya kupokea maradhi?
 
Hakika, Pia sisi kuumwa ni aghalabu, ila ukijakuumwa unaweza kwenda 😂😅
 
Huku kusema positive na negative humaanisha nini. mfano: Group O positive, O negative.


JESUS IS CHRIST
 
Huku kusema positive na negative humaanisha nini. mfano: Group O positive, O negative.


JESUS IS CHRIST
Zinaitwa rhesus factor, ni protein ya kurithi inayoweza kuwepo kwenye red blood cell. Mtu akiwa na hiyo protein ndio huitwa rhesus positive na ambaye anakua hana hiyo protein huitwa rhesus negative.
 
Hapana asaiv kuna sindano wanachomwa kipindi wanahudhuria clinic ku supress immune reaction kwa mtoto alie tumboni ili asife, Muhimu ni kua watu hawa wanatakiwa wawe waudhuriaji wa clinic mzuri.
Yeah mkuu umemuelewesha vizuri sindano hiyo inaitwa anti-D mjamzito anachoma mimba ikifikisha miezi saba na pia ndani ya siku tatu baada ya kujifungua. cha muhimu ni kuwa muhudhuriaji mzuri wa clinic tu na iwe clinic ya hospitali inayoeleweka baada ya hiyo sindano mimba zinazofuata huchomi tena
 
Tulienda mgodini na jamaa zangu. mazingira yalikua magumu Sana. Wote waliugua na wengine walirudia kuumwa lakini Mimi sijawahi kuumwa mpaka tunaondoka.
 
Mara ya mwsho tulikua phlebotomy room nikapata mbususu kisa mdada alikua O- kama mimi yeye ndo alinitoa damu
Faida nyingine ni kuwatishia wagonjwa wasiende peku mana hata mimi nawaambiaga nna 0- ila nna ngwengwe
Waache kujiachia na imelipa nmeokoa wengi
 
Sio kweli Mkuu kwamba akishachoma kwa ujauzito mmoja basi hachomi tena kwa mimba zinazofuata.

Baada ya ujauzito wa kwanza anachoma hiyo sindano na kila akipata ujauzito inatakiwa kuchoma hizo sindano kwa huo utaratibu uliousema hapo japo zinakuwaga mbili wakati wa ujauzito na akijifungua hiyo sindano ya kabla ya masaa 72 inakuwa ya tatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…