Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Mtani na wewe ni mwenzetu nini? 😀Weka Link
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtani na wewe ni mwenzetu nini? 😀Weka Link
Nawe ni -Mtani na wewe ni mwenzetu nini? 😀
Ndio Mtani.Nawe ni -
Mimi+Ndio Mtani.
Hizo sindano mbili za kipindi cha ujauzito zinatakiwa kuchomwa muda gani na muda gani mkuuSio kweli Mkuu kwamba akishachoma kwa ujauzito mmoja basi hachomi tena kwa mimba zinazofuata.
Baada ya ujauzito wa kwanza anachoma hiyo sindano na kila akipata ujauzito inatakiwa kuchoma hizo sindano kwa huo utaratibu uliousema hapo japo zinakuwaga mbili wakati wa ujauzito na akijifungua hiyo sindano ya kabla ya masaa 72 inakuwa ya tatu.
Upo sahihi mkuu, inaonekana una experience, hapo kwenye ya tatu sijakupata ninavyojua ni sindano mbili tuSio kweli Mkuu kwamba akishachoma kwa ujauzito mmoja basi hachomi tena kwa mimba zinazofuata.
Baada ya ujauzito wa kwanza anachoma hiyo sindano na kila akipata ujauzito inatakiwa kuchoma hizo sindano kwa huo utaratibu uliousema hapo japo zinakuwaga mbili wakati wa ujauzito na akijifungua hiyo sindano ya kabla ya masaa 72 inakuwa ya tatu.
utaelewa ukishatumikaCha wote ndio nn sijakuelewa
KumbeThanks kwa kunijuza
Mkuu mi Dr aliniandikia nikachoma wiki ya 27 na ilipofika ya 32 nilichoma tena.Hizo sindano mbili za kipindi cha ujauzito zinatakiwa kuchomwa muda gani na muda gani mkuu
asante mkuu, sasa mwenye hiyo protein na ambaye hana utofauti wao ni upi katika maishaZinaitwa rhesus factor, ni protein ya kurithi inayoweza kuwepo kwenye red blood cell. Mtu akiwa na hiyo protein ndio huitwa rhesus positive na ambaye anakua hana hiyo protein huitwa rhesus negative.
Na sie tuunde grupu letu la wasapu [emoji28][emoji28]Ambao hatujui tupo group ghani tujuane [emoji23]
Rhesus factor haina effect kwenye maisha ya kawaida ya kiafya, utafauti unakuja tu ikawa mama mwenye Rh- atazaa na baba mwenye Rh+ hasa kwa ujauzito wa pili, japo kwa sasa kuna dawa za kuzuia shida isitokee.asante mkuu, sasa mwenye hiyo protein na ambaye hana utofauti wao ni upi katika maisha
Daah hapo kwenye mahesabu ya wiki ndio umenichanganya kidogo, ukiweka katika miezi inakuwa mwezi wa ngapi na mwezi wa ngapi exactly maana kwenye ujauzito sijawahi kuelewa namna wanavyohesabu wiki, samahani lakiniMkuu mi Dr aliniandikia nikachoma wiki ya 27 na ilipofika ya 32 nilichoma tena.
Kama mpaka sasa hivi huna maua wakupe maua yako haraka sanaGroup 0 wanalo watu pekee chadema sababu wana akili na maono
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Natamani wenye group hili tuunde kundi letu la whatsapp
Mkuu mke wangu ni O negative mimi ni A+ kwa sasa ana mimba ya miezi 5 ni mimba ya kwanza hadi sasa bado hajapata changamoto yoyote. Je vipi anaweza kujifungua salama hii mimba..Kwa mwanaume hasara ni kwenye kupokea damu inabidi atafutwe O negative mwenzio ila kwa mwanamke kwenye ujauzito kama amekutana na positive kuanzia mimba ya pili ndio mapicha picha yanaanza