cacashian01
Member
- Mar 3, 2016
- 76
- 62
Binafsi sijakuelewa. Andika vizuri ujibiwe.Habarini za jioni
Naomba kuuliza kama mtu umenunua nyumba na mkataba wa mauziano ukapotea na waliouziana mmoja amefariki. Je aliye baki(muuzaji)anaweza akaandika affidavit kuthibitisha kuwa aliwauzia walengwa na ikakubalika kama ushahidi?
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Ndio inawezekana kwa kuwa affidavity ni kiapo na kipo kisheria isipokuwa tu atakapo apa ajitahidi kikasajiliwe wizara ya ardhi kule kitakuwa na nguvu kubwa kikisajiliwa na msajiri wa nyarakaHabarini za jioni
Naomba kuuliza kama mtu umenunua nyumba na mkataba wa mauziano ukapotea na waliouziana mmoja amefariki. Je aliye baki(muuzaji)anaweza akaandika affidavit kuthibitisha kuwa aliwauzia walengwa na ikakubalika kama ushahidi?
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Shukran mkuu kwa ushauriNdio inawezekana kwa kuwa affidavity ni kiapo na kipo kisheria isipokuwa tu atakapo apa ajitahidi kikasajiliwe wizara ya ardhi kule kitakuwa na nguvu kubwa kikisajiliwa na msajiri wa nyaraka