cacashian01
Member
- Mar 3, 2016
- 76
- 62
Habarini za jioni
Naomba kuuliza kama mtu umenunua nyumba na mkataba wa mauziano ukapotea na waliouziana mmoja amefariki. Je aliye baki(muuzaji)anaweza akaandika affidavit kuthibitisha kuwa aliwauzia walengwa na ikakubalika kama ushahidi?
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Naomba kuuliza kama mtu umenunua nyumba na mkataba wa mauziano ukapotea na waliouziana mmoja amefariki. Je aliye baki(muuzaji)anaweza akaandika affidavit kuthibitisha kuwa aliwauzia walengwa na ikakubalika kama ushahidi?
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app