Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ni muhimu binamu kujipenda, kuanzia usafi wa nywele, ngozi, kinywa, mavazi , malazi na chakula. Kwenye bible Adams alipewa nguvu na uwezo wa kutawala wanyama sasa tusipojipenda si tunajiweka sawa na wale tunaowatawala?
Nywele ni muhimu zisafishwe kwa uchache mara moja kwa wiki. Kinywa kisafishwe kwa uchache mara mbili kwa siku lakini kuna wanaobeba muswaki kwenye handbags na wanasafisha kinywa hata wakiwa kazini baada ya lunch.
Ngozi inatakiwa kuoshwa angalau mara moja kwa siku na kupakwa vilainishi, hivi hii fanya ngozi kuwa laini na ya kuvutika. Kumbuka kuwa kuna uchafu wa mwili unaotokea kwenye ngozi. Kwahiyo katika masaa 24 ni vyema kuitendea haki ngozi yako kwa maji na sabuni.
Usafi wa nguo za ndani zilizokuwa nguo zinapambana moja kwa moja na ngozi kama pichu, vest, sidiria, socks na boxer hivi vinatakiwa kubadilishwa kila siku.
Shuka za kitandani angalau Mara moja kwa wiki.
Deodorant inasaidia unadhifu hii ni inapaswa kutumika mara unapimaliza kuoga na kujikausha. Maisha ya boarding tulishare deodorant kutoka mwanzo wa bweni mpaka mwisho nikikumbuka ninacheka sasa hivi siwezi kushare deodorant na mtu labda spray lakini si roll on
Make up kwa sisi mabinti wa Hawa, ukirudi jioni unaoga na kupaka moisturiser tu kuipa ngozi nafasi ya kupumua. Unamkuta mdada ametoka kazini amefakamia mipombe akifika nyumbani analala hivyo hivyo. Eti nae anataka aitwe Lady.
Ni hayo tu kwa leo.
Nywele ni muhimu zisafishwe kwa uchache mara moja kwa wiki. Kinywa kisafishwe kwa uchache mara mbili kwa siku lakini kuna wanaobeba muswaki kwenye handbags na wanasafisha kinywa hata wakiwa kazini baada ya lunch.
Ngozi inatakiwa kuoshwa angalau mara moja kwa siku na kupakwa vilainishi, hivi hii fanya ngozi kuwa laini na ya kuvutika. Kumbuka kuwa kuna uchafu wa mwili unaotokea kwenye ngozi. Kwahiyo katika masaa 24 ni vyema kuitendea haki ngozi yako kwa maji na sabuni.
Usafi wa nguo za ndani zilizokuwa nguo zinapambana moja kwa moja na ngozi kama pichu, vest, sidiria, socks na boxer hivi vinatakiwa kubadilishwa kila siku.
Shuka za kitandani angalau Mara moja kwa wiki.
Deodorant inasaidia unadhifu hii ni inapaswa kutumika mara unapimaliza kuoga na kujikausha. Maisha ya boarding tulishare deodorant kutoka mwanzo wa bweni mpaka mwisho nikikumbuka ninacheka sasa hivi siwezi kushare deodorant na mtu labda spray lakini si roll on
Make up kwa sisi mabinti wa Hawa, ukirudi jioni unaoga na kupaka moisturiser tu kuipa ngozi nafasi ya kupumua. Unamkuta mdada ametoka kazini amefakamia mipombe akifika nyumbani analala hivyo hivyo. Eti nae anataka aitwe Lady.
Ni hayo tu kwa leo.