Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kuweka after shave kama unaishi kwenye chumba
We ni me au keMi napenda sana usafi hadi nimepitiliza,nashukuru umeweka uzi huu wa kuwakumbusha watu wafanye usafi kwa kiasi.
Hii ya watu wa DAR tu...wa mikoani subirini italetwa yenu inayoendana na mazingira yenu mfano jinsi ya kujiswafi kwenye mazingira ya vumbi kama kasulu na kibondo....[emoji1] [emoji1] [emoji1]Hii thread inawahusu hadi wa mikoani??
Dah kwahiyo umeamua kutoa hukumu kabisa? Acha hizo mkuuHii ya watu wa DAR tu...wa mikoani subirini italetwa yenu inayoendana na mazingira yenu mfano jinsi ya kujiswafi kwenye mazingira ya vumbi kama kasulu na kibondo....[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
True story nilimuacha manzi bcoz saloon once aweek some times once in 14 days sio kosa langu nilimuomba anyoe nitampenda zaidi but she didnt beleave it nilishindwa tu her hair was my problem especialy we take a shower nywele zake hazigusi maji na akitoka saloon anazilinda kashinda mzazi na mwanae to me it was a huge problemKabisa mkuu
[emoji15]mimi huwa naoga siku za kula wali tuu
nikila ugali siogi
Vipi binti unatafuta mume ....... kama unataka mume nisamehe bure mi nimeoa na nina watoto wa4.We ni me au ke
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
LoveInawahusu mkuu