Umuhimu wa KATIBA MPYA: Mkuu wa Itifaki Serikalini avaa nguo za CCM

Umuhimu wa KATIBA MPYA: Mkuu wa Itifaki Serikalini avaa nguo za CCM

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Kuna upuuzi unafanyika nchi hii nadhani ni kuzimu tu wanaweza kuuelewa.

Tunaposema kuna haja ya kupata KATIBA MPYA kuuondoa huu upuuzi tuna maanisha kweli maana hii nchi imefikia hatua mbaya kiasi cha kusikitisha na kuogopesha.

Mkuu wa Itifaki Serikalini ( Chief of Protocol) ni cheo cha utendaji. Cheo hiki kina hadhi ya Mkurugenzi pale Wizara ya Mambo ya Nje. Mtumishi huyu analipwa mshahara kwa kodi za Wananchi wa Tanzania ambao ndani yake kuna wanachama wa vyama tofauti vya siasa. Analipwa posho kwa kodi hizo za wananchi ambazo pia kuna Watanzania ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa.

Mtumishi huyu anapovaa nguo za CCM tena kwenye sherehe ya CCM ni upuuzi na matusi makubwa sana juu ya utawala bora na utawala wa Sheria.

Ni kielelezo cha ujinga sio tu wake ila kwa Watanzania kuwa tupo kwenye hali mbaya sana.

Kwa kifupi mtumishi huyu hapaswi hata kuwepo kwenye shughuli ya Chama maana shughuli za chama zinapaswa kuratibiwa na kuendeshwa na Chama husika.

Mungu atusaidie.

Pichani:
Mkuu wa Itifaki Serikalini Yusuf Mndolwa akimkaribisha Waziri Mkuu ndani ya Mkutano wa CCM.

Mndolwa.png
 
Kuna upuuzi unafanyika nchi hii nadhani ni kuzimu tu wanaweza kuuelewa.

Tunaposema kuna haja ya kupata KATIBA MPYA kuuondoa huu upuuzi tuna maanisha kweli maana hii nchi imefikia hatua mbaya kiasi cha kusikitisha na kuogopesha.

Mkuu wa Itifaki Serikalini ( Chief of Protocol) ni cheo cha utendaji. Cheo hiki kina hadhi ya Mkurugenzi pale Wizara ya Mambo ya Nje. Mtumishi huyu analipwa mshahara kwa kodi za Wananchi wa Tanzania ambao ndani yake kuna wanachama wa vyama tofauti vya siasa. Analipwa posho kwa kodi hizo za wananchi ambazo pia kuna Watanzania ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa.

Mtumishi huyu anapovaa nguo za CCM tena kwenye sherehe ya CCM ni upuuzi na matusi makubwa sana juu ya utawala bora na utawala wa Sheria.

Ni kielelezo cha ujinga sio tu wake ila kwa Watanzania kuwa tupo kwenye hali mbaya sana.

Kwa kifupi mtumishi huyu hapaswi hata kuwepo kwenye shughuli ya Chama maana shughuli za chama zinapaswa kuratibiwa na kuendeshwa na Chama husika.

Mungu atusaidie.

Pichani:
Mkuu wa Itifaki Serikalini Yusuf Mndolwa akimkaribisha Waziri Mkuu ndani ya Mkutano wa CCM.

Acheni kutapatatapa hicho ni kitenge cha kawaida. km hamwezi siasa au hamuijui nenda mkalime siyo kulialia na uharo juu
 
Mm sio mwanaccm ila hapo sijaona kosa mana umeshasema huo n mkutano wa ccm kwahy wote wanaofika hapo n wanaCCM.
Pia hao wote hapo kwenye picha hawajavaa nguo za ccm ila wamevaa nguo za kijani, mbona rais akivaa tai au ushungi mwekundu mbona husemi amevaa nguo ya chadema?
 
Hii nchi ni chaneli ya vichekesho
Kuna upuuzi unafanyika nchi hii nadhani ni kuzimu tu wanaweza kuuelewa.

Tunaposema kuna haja ya kupata KATIBA MPYA kuuondoa huu upuuzi tuna maanisha kweli maana hii nchi imefikia hatua mbaya kiasi cha kusikitisha na kuogopesha.

Mkuu wa Itifaki Serikalini ( Chief of Protocol) ni cheo cha utendaji. Cheo hiki kina hadhi ya Mkurugenzi pale Wizara ya Mambo ya Nje. Mtumishi huyu analipwa mshahara kwa kodi za Wananchi wa Tanzania ambao ndani yake kuna wanachama wa vyama tofauti vya siasa. Analipwa posho kwa kodi hizo za wananchi ambazo pia kuna Watanzania ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa.

Mtumishi huyu anapovaa nguo za CCM tena kwenye sherehe ya CCM ni upuuzi na matusi makubwa sana juu ya utawala bora na utawala wa Sheria.

Ni kielelezo cha ujinga sio tu wake ila kwa Watanzania kuwa tupo kwenye hali mbaya sana.

Kwa kifupi mtumishi huyu hapaswi hata kuwepo kwenye shughuli ya Chama maana shughuli za chama zinapaswa kuratibiwa na kuendeshwa na Chama husika.

Mungu atusaidie.

Pichani:
Mkuu wa Itifaki Serikalini Yusuf Mndolwa akimkaribisha Waziri Mkuu ndani ya Mkutano wa CCM.

 
Kuna upuuzi unafanyika nchi hii nadhani ni kuzimu tu wanaweza kuuelewa.

Tunaposema kuna haja ya kupata KATIBA MPYA kuuondoa huu upuuzi tuna maanisha kweli maana hii nchi imefikia hatua mbaya kiasi cha kusikitisha na kuogopesha.

Mkuu wa Itifaki Serikalini ( Chief of Protocol) ni cheo cha utendaji. Cheo hiki kina hadhi ya Mkurugenzi pale Wizara ya Mambo ya Nje. Mtumishi huyu analipwa mshahara kwa kodi za Wananchi wa Tanzania ambao ndani yake kuna wanachama wa vyama tofauti vya siasa. Analipwa posho kwa kodi hizo za wananchi ambazo pia kuna Watanzania ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa.

Mtumishi huyu anapovaa nguo za CCM tena kwenye sherehe ya CCM ni upuuzi na matusi makubwa sana juu ya utawala bora na utawala wa Sheria.

Ni kielelezo cha ujinga sio tu wake ila kwa Watanzania kuwa tupo kwenye hali mbaya sana.

Kwa kifupi mtumishi huyu hapaswi hata kuwepo kwenye shughuli ya Chama maana shughuli za chama zinapaswa kuratibiwa na kuendeshwa na Chama husika.

Mungu atusaidie.

Pichani:
Mkuu wa Itifaki Serikalini Yusuf Mndolwa akimkaribisha Waziri Mkuu ndani ya Mkutano wa CCM.

Halafu Lissu anawadanganya watu wake wanaenda kumtoa Samia. Ngoja apewe mbunge 1 atulie halafu aseme bora yeye kapata mbunge 1 Pemba kuliko mbowe ambae hajapata mbunge Pemba
 
Kuna upuuzi unafanyika nchi hii nadhani ni kuzimu tu wanaweza kuuelewa.

Tunaposema kuna haja ya kupata KATIBA MPYA kuuondoa huu upuuzi tuna maanisha kweli maana hii nchi imefikia hatua mbaya kiasi cha kusikitisha na kuogopesha.

Mkuu wa Itifaki Serikalini ( Chief of Protocol) ni cheo cha utendaji. Cheo hiki kina hadhi ya Mkurugenzi pale Wizara ya Mambo ya Nje. Mtumishi huyu analipwa mshahara kwa kodi za Wananchi wa Tanzania ambao ndani yake kuna wanachama wa vyama tofauti vya siasa. Analipwa posho kwa kodi hizo za wananchi ambazo pia kuna Watanzania ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa.

Mtumishi huyu anapovaa nguo za CCM tena kwenye sherehe ya CCM ni upuuzi na matusi makubwa sana juu ya utawala bora na utawala wa Sheria.

Ni kielelezo cha ujinga sio tu wake ila kwa Watanzania kuwa tupo kwenye hali mbaya sana.

Kwa kifupi mtumishi huyu hapaswi hata kuwepo kwenye shughuli ya Chama maana shughuli za chama zinapaswa kuratibiwa na kuendeshwa na Chama husika.

Mungu atusaidie.

Pichani:
Mkuu wa Itifaki Serikalini Yusuf Mndolwa akimkaribisha Waziri Mkuu ndani ya Mkutano wa CCM.

He’s just one of so many of them…
 
Analazimika, kufanya kaz serukalini ni ngumu sana wewe kutenganishwa na Ccm maana utaambiwa unatekeleza ilani ya chama tawala (Ccm)
 
Back
Top Bottom