Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
Hiivi wananchi wanaendaje kuhudhuria mikutano ambayo haina faida kwa nchi kama hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wa Itifaki ni mtumishi wa serikali ambaye hana kazi yoyote katika mkutano wa CCM.Mm sio mwanaccm ila hapo sijaona kosa mana umeshasema huo n mkutano wa ccm kwahy wote wanaofika hapo n wanaCCM.
Pia hao wote hapo kwenye picha hawajavaa nguo za ccm ila wamevaa nguo za kijani, mbona rais akivaa tai au ushungi mwekundu mbona husemi amevaa nguo ya chadema?
Unaanza kupoteza "focus"...Kuna upuuzi unafanyika nchi hii nadhani ni kuzimu tu wanaweza kuuelewa.
Tunaposema kuna haja ya kupata KATIBA MPYA kuuondoa huu upuuzi tuna maanisha kweli maana hii nchi imefikia hatua mbaya kiasi cha kusikitisha na kuogopesha.
Mkuu wa Itifaki Serikalini ( Chief of Protocol) ni cheo cha utendaji. Cheo hiki kina hadhi ya Mkurugenzi pale Wizara ya Mambo ya Nje. Mtumishi huyu analipwa mshahara kwa kodi za Wananchi wa Tanzania ambao ndani yake kuna wanachama wa vyama tofauti vya siasa. Analipwa posho kwa kodi hizo za wananchi ambazo pia kuna Watanzania ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa.
Mtumishi huyu anapovaa nguo za CCM tena kwenye sherehe ya CCM ni upuuzi na matusi makubwa sana juu ya utawala bora na utawala wa Sheria.
Ni kielelezo cha ujinga sio tu wake ila kwa Watanzania kuwa tupo kwenye hali mbaya sana.
Kwa kifupi mtumishi huyu hapaswi hata kuwepo kwenye shughuli ya Chama maana shughuli za chama zinapaswa kuratibiwa na kuendeshwa na Chama husika.
Mungu atusaidie.
Pichani:
Mkuu wa Itifaki Serikalini Yusuf Mndolwa akimkaribisha Waziri Mkuu ndani ya Mkutano wa CCM.
Wananchi wanajua kuwa CCM imejitahidi kuilinda AMANI ya taifa hili.....Hiivi wananchi wanaendaje kuhudhuria mikutano ambayo haina faida kwa nchi kama hii?
HakikaKama aliyovaa Majaliwa
ni ubwabwa unawapeleka pale si unajua njaa wagogo wanauita maulaga ndugu!Wananchi wanajua kuwa CCM imejitahidi kuilinda AMANI ya taifa hili.....
Imeandikwa wapi kwamba ni shati la ccm au kila kijani na njano ni ccm? Mbona hujamlaumu kwamba kavaa yanga? Hilo shati halina nembo yoyote ya ccm.Kuna upuuzi unafanyika nchi hii nadhani ni kuzimu tu wanaweza kuuelewa.
Tunaposema kuna haja ya kupata KATIBA MPYA kuuondoa huu upuuzi tuna maanisha kweli maana hii nchi imefikia hatua mbaya kiasi cha kusikitisha na kuogopesha.
Mkuu wa Itifaki Serikalini ( Chief of Protocol) ni cheo cha utendaji. Cheo hiki kina hadhi ya Mkurugenzi pale Wizara ya Mambo ya Nje. Mtumishi huyu analipwa mshahara kwa kodi za Wananchi wa Tanzania ambao ndani yake kuna wanachama wa vyama tofauti vya siasa. Analipwa posho kwa kodi hizo za wananchi ambazo pia kuna Watanzania ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa.
Mtumishi huyu anapovaa nguo za CCM tena kwenye sherehe ya CCM ni upuuzi na matusi makubwa sana juu ya utawala bora na utawala wa Sheria.
Ni kielelezo cha ujinga sio tu wake ila kwa Watanzania kuwa tupo kwenye hali mbaya sana.
Kwa kifupi mtumishi huyu hapaswi hata kuwepo kwenye shughuli ya Chama maana shughuli za chama zinapaswa kuratibiwa na kuendeshwa na Chama husika.
Mungu atusaidie.
Pichani:
Mkuu wa Itifaki Serikalini Yusuf Mndolwa akimkaribisha Waziri Mkuu ndani ya Mkutano wa CCM.
Kwa hiyo ni Tanzania tu ambapo Watumishi wa Serikali wanalazimishwa kufanya kazi za Chama kilichopo madarakani only because wanatekeleza ilani ya Chama?Analazimika, kufanya kaz serukalini ni ngumu sana wewe kutenganishwa na Ccm maana utaambiwa unatekeleza ilani ya chama tawala (Ccm)
Kivipi?yuko sawa
Labda angekuwa ni Balozi wa Jamaika nchini TzAmevaa shati la kitenge, lisilo na nembo Wala Jina la CCM.
Ukisha vaa rangi za mboga mboga katika kuadhimisha siku ya Chama cha Mboga mboga na wewe ni mfuasi wa chama cha Mboga mboga.Amevaa shati la kitenge, lisilo na nembo Wala Jina la CCM.
Anafanya nini kwenye shughuli ya CCM?Sio kila kijani ni CCM
Mikutano ya hivi wanahudhuria wanaCCM sio Wananchi😄Hiivi wananchi wanaendaje kuhudhuria mikutano ambayo haina faida kwa nchi kama hii?
Sio yule mkalimani?Kuna upuuzi unafanyika nchi hii nadhani ni kuzimu tu wanaweza kuuelewa.
Tunaposema kuna haja ya kupata KATIBA MPYA kuuondoa huu upuuzi tuna maanisha kweli maana hii nchi imefikia hatua mbaya kiasi cha kusikitisha na kuogopesha.
Mkuu wa Itifaki Serikalini ( Chief of Protocol) ni cheo cha utendaji. Cheo hiki kina hadhi ya Mkurugenzi pale Wizara ya Mambo ya Nje. Mtumishi huyu analipwa mshahara kwa kodi za Wananchi wa Tanzania ambao ndani yake kuna wanachama wa vyama tofauti vya siasa. Analipwa posho kwa kodi hizo za wananchi ambazo pia kuna Watanzania ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa.
Mtumishi huyu anapovaa nguo za CCM tena kwenye sherehe ya CCM ni upuuzi na matusi makubwa sana juu ya utawala bora na utawala wa Sheria.
Ni kielelezo cha ujinga sio tu wake ila kwa Watanzania kuwa tupo kwenye hali mbaya sana.
Kwa kifupi mtumishi huyu hapaswi hata kuwepo kwenye shughuli ya Chama maana shughuli za chama zinapaswa kuratibiwa na kuendeshwa na Chama husika.
Mungu atusaidie.
Pichani:
Mkuu wa Itifaki Serikalini Yusuf Mndolwa akimkaribisha Waziri Mkuu ndani ya Mkutano wa CCM.
Nadhani kama sio chuki zilizopitiliza dhidi ya CCM utakuwa na matatizo ya macho!Kuna upuuzi unafanyika nchi hii nadhani ni kuzimu tu wanaweza kuuelewa.
Tunaposema kuna haja ya kupata KATIBA MPYA kuuondoa huu upuuzi tuna maanisha kweli maana hii nchi imefikia hatua mbaya kiasi cha kusikitisha na kuogopesha.
Mkuu wa Itifaki Serikalini ( Chief of Protocol) ni cheo cha utendaji. Cheo hiki kina hadhi ya Mkurugenzi pale Wizara ya Mambo ya Nje. Mtumishi huyu analipwa mshahara kwa kodi za Wananchi wa Tanzania ambao ndani yake kuna wanachama wa vyama tofauti vya siasa. Analipwa posho kwa kodi hizo za wananchi ambazo pia kuna Watanzania ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa.
Mtumishi huyu anapovaa nguo za CCM tena kwenye sherehe ya CCM ni upuuzi na matusi makubwa sana juu ya utawala bora na utawala wa Sheria.
Ni kielelezo cha ujinga sio tu wake ila kwa Watanzania kuwa tupo kwenye hali mbaya sana.
Kwa kifupi mtumishi huyu hapaswi hata kuwepo kwenye shughuli ya Chama maana shughuli za chama zinapaswa kuratibiwa na kuendeshwa na Chama husika.
Mungu atusaidie.
Pichani:
Mkuu wa Itifaki Serikalini Yusuf Mndolwa akimkaribisha Waziri Mkuu ndani ya Mkutano wa CCM.
Kabla ya kuangalia kama nguo yake ina nembo ya CCM swali la kwanza ulilopaswa kujiuliza ni huyo mtumishi wa umma anayelipwa mshahara kwa kodi za wananchi anafanya nini kwenye shughuli ya chama?Nadhani kama sio chuki zilizopitiliza dhidi ya CCM utakuwa na matatizo ya macho!
Nguo alizovaa huyo jamaa hazina uhusiano wowote na CCM.
Karibu kuzoom hilo shati uone kama kuna alama yoyote ya CCM.
Jambo jingine kabla ya kuleta katiba mpya ni kipengele kipi cha katiba ya Sasa kimeruhusu watumishi wa serikali kama huyu hapa kuvaa nguo za CCM.
Point yangu ni kwamba kuna uwezekano tukaweka katiba mpya na mambo yakawa hayahaya!.
Sasa kama rais tuu ana chama sembuse mkuu wa itifaki?Mkuu wa Itifaki ni mtumishi wa serikali ambaye hana kazi yoyote katika mkutano wa CCM.
Huyo ni sawa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje tu.
Gone are the days of Ambassador Joshua Opanga.