SoC01 Umuhimu wa Kiswahili kutumika kama lugha ya kufundishia Shuleni Tanzania

SoC01 Umuhimu wa Kiswahili kutumika kama lugha ya kufundishia Shuleni Tanzania

Stories of Change - 2021 Competition

longokaka

Member
Joined
Jul 17, 2021
Posts
6
Reaction score
54
Kiswahili kiwe lugha ya kufundishia Shuleni .

Mfumo wa utoaji elimu ndio kitu pekee kitachopelekea elimu kupokelewa vizuri na wahusika katika mahala sahihi .

Jamii yetu ya Tanzania imetawaliwa na lugha ya Kiswahili na kwa upande wa pili ni kwamba Kiswahili kimeidhinishwa kuwa ni lugha ya taifa . kwaio ni kwamba ufanisi mkubwa sana wa kuelewa kwa watanzania umeegemea katika nguzo ya lugha ya kisahili .

Mfano: Mara nyingi sana walimu hutumia kingereza kufundishia huku bado wakiambatanisha na tafsiri za Kiswahili kitu ambacho kinaleta mzigo kwa wasomaji kwenye ukariri wa kitu kwa lugha mbili .

Faida za Kiswahili kutumika kama lugha ya kufundishia :-

1.) Inaivuta elimu katika mazingira ya kinyumbani ni kiwa na maana katika mazingira ya kijamii zetu na kuondoa utabaka kati ya msomi na jamii inayomzunguka.

2.) Ina rahisisha Zaidi ujengaji picha juu ya elimu inayotolewa na kuchochea uelewa pia inaua ile dhana ya kua mtu akiongea tu ki-ingereza basi inaonekana kua ni mtaalamu na ni msomi pia .

3.) Inaongeza hamasa ya usomaji sio tu kwa wanafunzi hapana, ila hata kwa walioko nyumbani ambao wanapendelea kupata elimu Fulani juu ya kitu Fulani.

4.) Inatupa njia ya kuweza kujiendeleza wenyewe vizuri nikiwa na maana ata uandaaji wa mitaala wa elimu utawezekana kwa urahisi .

5.) Inachochea ukuaji na upanukaji wa lugha ya Kiswahili pamoja na ukuaji wa uchumi kwa kudhibiti gharama zitumikazo kwa uaandaaji wa mitaala kutoka nje.


Ushauri juu ya namna ya kufanya :-

Tanzania tayari ina wataalamu wakutosha . Nadhani jukumu ni la serikali kuangalia kwamba inawatumia vipi ili kuhakikisha hili jambo linakwenda kutekelezeka .


NB: Naomba ieleweke kwamba sikatai uwepo wa lugha ya ki-ingereza ,hapana, ila ki-ingereza kibaki kama somo ili kirahisishe mawasiliano ya kigeni .
 
Upvote 34
Nice, ila nina mtazamo tofauti, ni sawa kiswahili kufundishwa kwa level zote kutaibua wahitimu waelewaji, but kwa vile hatujawa bado wakubwa tunaojitegemea kama taifa tunahitaji zaidi kujua kingereza,so kingereza ndio tutilie mkazo,mimi nadhani tukiwa consistent kingereza kifundishwe kuanzia vidudu mpaka chuo kikuu hakutakua na tatizo. Tatizo ni tunapochanganya lugha kwa level tunawachanganya watoto
 
Nashukuru kwa hoja yako na naoma niijibu Kama ifuatavyo
Nice, ila nina mtazamo tofauti, ni sawa kiswahili kufundishwa kwa level zote kutaibua wahitimu waelewaji, but kwa vile hatujawa bado wakubwa tunaojitegemea kama taifa tunahitaji zaidi kujua kingereza,so kingereza ndio tutilie mkazo,mimi nadhani tukiwa consistent kingereza kifundishwe kuanzia vidudu mpaka chuo kikuu hakutakua na tatizo. Tatizo ni tunapochanganya lugha kwa level tunawachanganya watot

Nice, ila nina mtazamo tofauti, ni sawa kiswahili kufundishwa kwa level zote kutaibua wahitimu waelewaji, but kwa vile hatujawa bado wakubwa tunaojitegemea kama taifa tunahitaji zaidi kujua kingereza,so kingereza ndio tutilie mkazo,mimi nadhani tukiwa consistent kingereza kifundishwe kuanzia vidudu mpaka chuo kikuu hakutakua na tatizo. Tatizo ni tunapochanganya lugha kwa level tunawachanganya watoto
rebeca ok nashukuru kwa hoja yako na naomba nikujibu Kama ifuatavyo..
1. Tunapoamua kiingereza kianzie msingi Hadi secondary bado changamoto ataipata msomaji kwasababu awapo kwenye mazingira ya jamii yake itamuwia itamradhimu akae katika mazingira ya kiswahili pekee. Nadhani sote mashahidi kwenye Hilo .
2. Pili nikinukuu hata katika hoja za viongozi wa nchi waliopita, mf DR JPM alisema 'maisha Ni kuamua , usijesema eti mi nina hiki kiuwezo kidogo hakitafanikisha no !! Unapoamua kufanya Jambo fanya kwa Mana changamoto zipo n hazkimbiliki kwaio unapoamua ndio akili ya kuzidi hizo changamoto inakuja yenyew'. Mwisho wa kunukuu...
Swala Ni kua mataifa Kama China yamewezaje kuitoa elimu kwa lugha yao Ili Hali yalikua madogo kiuwezo . Ndipo utagundua kua waliamua na ndipo wakafanikiwa .
Kwaio kwenye swala la udogo tutaliovacome Kama endapo sisi Kama serikali tutaamua. Asante🙏
 
Nashukuru kwa hoja yako na naoma niijibu Kama ifuatavyo



rebeca ok nashukuru kwa hoja yako na naomba nikujibu Kama ifuatavyo..
1. Tunapoamua kiingereza kianzie msingi Hadi secondary bado changamoto ataipata msomaji kwasababu awapo kwenye mazingira ya jamii yake itamuwia itamradhimu akae katika mazingira ya kiswahili pekee. Nadhani sote mashahidi kwenye Hilo .
2. Pili nikinukuu hata katika hoja za viongozi wa nchi waliopita, mf DR JPM alisema 'maisha Ni kuamua , usijesema eti mi nina hiki kiuwezo kidogo hakitafanikisha no !! Unapoamua kufanya Jambo fanya kwa Mana changamoto zipo n hazkimbiliki kwaio unapoamua ndio akili ya kuzidi hizo changamoto inakuja yenyew'. Mwisho wa kunukuu...
Swala Ni kua mataifa Kama China yamewezaje kuitoa elimu kwa lugha yao Ili Hali yalikua madogo kiuwezo . Ndipo utagundua kua waliamua na ndipo wakafanikiwa .
Kwaio kwenye swala la udogo tutaliovacome Kama endapo sisi Kama serikali tutaamua. Asante🙏

mnhhhh haya.....sijui kwa nini tusifundishwe kwa lugha za makabila zetu tulikotoka???sababu kama msomi anapata changamoto kuwasiliana na jamii yake then lazima asome kwa kilugha cha hio jamii yake,mfano mchaga asome kwa kichaga not swahili,nachomaanisha hata swahili sio first language ya baadhi ya watu na kuna wanachokiona kigumu.

Kuhusu China,hata wao siku hizi wana vyuo vya kingereza, kwa kutambua umuhimu wa lugha hio, nilichomaanisha taifa letu bado ni dogo kuanza kutumia lugha yetu wenyewe/independently...leo hii computer zinazoingia nchini ziko kwa english,madawa yote English, vitu vingi English, usi ignore umuhimu wa English....Kiswahili ni lugha kubwa inayotumiwa na mataifa mengi tu duniani lakini Kingereza kinatumika zaidi duniani kushinda Kiswahili, sijaona kwa nini tuwape limitations wahitimu wetu, ukifundisha mtu kwa kiswahili unamuandaa afanye kazi nchini tu au labda na nchi chache zinazoongea kiswahili ila ukimfundisha mtu kwa kingereza possibilities zinakua nyingi kufanya kazi kwengineko...
 
Kiswahili kiwe lugha ya kufundishia Shuleni .

Mfumo wa utoaji elimu ndio kitu pekee kitachopelekea elimu kupokelewa vizuri na wahusika katika mahala sahihi .

Jamii yetu ya Tanzania imetawaliwa na lugha ya Kiswahili na kwa upande wa pili ni kwamba Kiswahili kimeidhinishwa kuwa ni lugha ya taifa . kwaio ni kwamba ufanisi mkubwa sana wa kuelewa kwa watanzania umeegemea katika nguzo ya lugha ya kisahili .

Mfano: Mara nyingi sana walimu hutumia kingereza kufundishia huku bado wakiambatanisha na tafsiri za Kiswahili kitu ambacho kinaleta mzigo kwa wasomaji kwenye ukariri wa kitu kwa lugha mbili .

Faida za Kiswahili kutumika kama lugha ya kufundishia :-

1.) Inaivuta elimu katika mazingira ya kinyumbani ni kiwa na maana katika mazingira ya kijamii zetu na kuondoa utabaka kati ya msomi na jamii inayomzunguka.

2.) Ina rahisisha Zaidi ujengaji picha juu ya elimu inayotolewa na kuchochea uelewa pia inaua ile dhana ya kua mtu akiongea tu ki-ingereza basi inaonekana kua ni mtaalamu na ni msomi pia .

3.) Inaongeza hamasa ya usomaji sio tu kwa wanafunzi hapana, ila hata kwa walioko nyumbani ambao wanapendelea kupata elimu Fulani juu ya kitu Fulani.

4.) Inatupa njia ya kuweza kujiendeleza wenyewe vizuri nikiwa na maana ata uandaaji wa mitaala wa elimu utawezekana kwa urahisi .

5.) Inachochea ukuaji na upanukaji wa lugha ya Kiswahili pamoja na ukuaji wa uchumi kwa kudhibiti gharama zitumikazo kwa uaandaaji wa mitaala kutoka nje.


Ushauri juu ya namna ya kufanya :-

Tanzania tayari ina wataalamu wakutosha . Nadhani jukumu ni la serikali kuangalia kwamba inawatumia vipi ili kuhakikisha hili jambo linakwenda kutekelezeka .


NB: Naomba ieleweke kwamba sikatai uwepo wa lugha ya ki-ingereza ,hapana, ila ki-ingereza kibaki kama somo ili kirahisishe mawasiliano ya kigeni .
Mie nashauri tutilia mkazo lugha zote mbili yaani Kiswahili na Kimombo ili kuwapa watu wetu welewa mpana wa mambo na kwa uzoefu wa utamaduni mwingine hata kama ni wa kikoloni. Nchi kama Kanada ni bilingual na zinakwenda uzuri tu. Hata wenzetu wa Burundi, japo hawasemi wazi wazi, wako hatua moja mbele. Wengi wa elites wao wanajua Kifaransa, Kiingereza na Kirundi pia Kiswahili. Hata baadhi ya wakongo kadhalika. Badala ya kushikilia lugha moja tupanue wigo. Mbona tumeweza kumilki na kuhimili Kiswahili pamoja na kuwa na lugha za makabila yetu? Nadhani kwa kupanua wigo tutanufaika badala ya kujifungia kwenye lugha moja kama wakenya ambao wengi wao hawajui Kiingereza wala Kiswahili hata wanaojua lugha hizi unakuta ni nusu kwa nusu ikilinganishwa na watanzania. Hata waganda wana tatizo hili kama ukiwaangalia kitaaluma.
 
Mie nashauri tutilia mkazo lugha zote mbili yaani Kiswahili na Kimombo ili kuwapa watu wetu welewa mpana wa mambo na kwa uzoefu wa utamaduni mwingine hata kama ni wa kikoloni. Nchi kama Kanada ni bilingual na zinakwenda uzuri tu. Hata wenzetu wa Burundi, japo hawasemi wazi wazi, wako hatua moja mbele. Wengi wa elites wao wanajua Kifaransa, Kiingereza na Kirundi pia Kiswahili. Hata baadhi ya wakongo kadhalika. Badala ya kushikilia lugha moja tupanue wigo. Mbona tumeweza kumilki na kuhimili Kiswahili pamoja na kuwa na lugha za makabila yetu? Nadhani kwa kupanua wigo tutanufaika badala ya kujifungia kwenye lugha moja kama wakenya ambao wengi wao hawajui Kiingereza wala Kiswahili hata wanaojua lugha hizi unakuta ni nusu kwa nusu ikilinganishwa na watanzania. Hata waganda wana tatizo hili kama ukiwaangalia kitaaluma.
Ni kweli kuhusu hili ..
Na ndio maana kiingereza Ni vyema kikabaki Kama somo kwa maana hii haitatutupa mbali na wageni wetu . Ila kwakujenga uzarendo na mazingira rahisi ya kitaaluma ilifaa zaidi kiswahili kipewe nafac kubwa .
Mfano mzuri Ni kukifanya kiingereza kua somo compalsor Yani lenye ulazima kufaulu nadhani inamsaada Sana. Nikiangazia jinsi somo la hisabati lilivokua compulsory kwa elimu y secondary kipindi Cha nyuma naamini hi pia inakua na matokeo chanya ikitekelezwa .🙏
 
Back
Top Bottom