Umuhimu wa kujifunza saikolojia

Umuhimu wa kujifunza saikolojia

Kukabiliana na hali ya maumbile yako

inatakikana kwanza kujielewa wewe ni Binadamu umeumbwa na Mungu na Mungu hakufanya makosa katika vile

alivyokupa mwilini mwako. Ingawa Binadamu haridhiki na kile alichopewa na Muumba wake ndio utakuta mtu ana kipara

anatafuta dawa za kurudisha nywele.Utamkuta mwanamke anataka awe na kikalio kikubwa wengi wanataka wawe na

Maziwa makubwa, utamkuta mtu mwengine ana kibamia anataka awe na dushelele kubwa na kadhalika. Binadamu ni

kiumbe dhaifu sana ameumbwa na Mungu lakini anayo mapungufu yake binafsi kwa Mungu hakuna mapungufu wala

kasoro katika uumbaji wake kwa viumbe wake inatakikana utosheke na kile alicho kupa Muumba wako na Kuridhika ni

kitu muhimu kwa binadamu ninakuachia hapo kwaleo bibie Mashaxizo

Duh! kumbe Mashaxizo ni ke?
Me siku zote najuaga ni me!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom