Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,642
Kukabiliana na hali ya maumbile yako
inatakikana kwanza kujielewa wewe ni Binadamu umeumbwa na Mungu na Mungu hakufanya makosa katika vile
alivyokupa mwilini mwako. Ingawa Binadamu haridhiki na kile alichopewa na Muumba wake ndio utakuta mtu ana kipara
anatafuta dawa za kurudisha nywele.Utamkuta mwanamke anataka awe na kikalio kikubwa wengi wanataka wawe na
Maziwa makubwa, utamkuta mtu mwengine ana kibamia anataka awe na dushelele kubwa na kadhalika. Binadamu ni
kiumbe dhaifu sana ameumbwa na Mungu lakini anayo mapungufu yake binafsi kwa Mungu hakuna mapungufu wala
kasoro katika uumbaji wake kwa viumbe wake inatakikana utosheke na kile alicho kupa Muumba wako na Kuridhika ni
kitu muhimu kwa binadamu ninakuachia hapo kwaleo bibie Mashaxizo
Duh! kumbe Mashaxizo ni ke?
Me siku zote najuaga ni me!
Last edited by a moderator: