Umuhimu wa kukaa ghetto

Umuhimu wa kukaa ghetto

Jstar1

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2019
Posts
1,391
Reaction score
1,347
Hii kitu ina umhimu wake aisee, natamani siku moja nipange room, nianze kujitegemea, kikubwa room yangu sitaki ikose Pad na Tv kwa ajili ya game, yaani game kwa kwenda mbele.

Mbali na uchumi kwangu kua mgumu, kitu inayonikimbiza kupanga, ni kupika kupika so kazi ya kitoto aisee, halafu kuna na kudeki unaweza ukavunjika hata uti wa mgongo kisa kuinama inama asubuhi.

mambo ya kufagia, sasa hapo ndio tutamalizana na majirani.

Halafu uzuri wa ghetto nasikia ua kuna watu wanatafunwa kama mihogo, wakuu wekeni wazi usumbufu ulioko ghetto, raha za ghetto, pamoja na mihangaiko,
 
Hii kitu ina umhimu wake aisee, natamani siku moja nipange room, nianze kujitegemea, kikubwa room yangu sitaki ikose Pad na Tv kwa ajili ya game, yaani game kwa kwenda mbele.

Mbali na uchumi kwangu kua mgumu, kitu inayonikimbiza kupanga, ni kupika kupika so kazi ya kitoto aisee, alafu kuna na kudeki unaweza ukavunjika ata uti wa mgongo kisa kuinama inama asubui.

mambo ya kufagia, sasa apo ndo tutamalizana na majirani.

alafu uzuri wa geto nasikia ua kuna watu wanatafunwa kama mihogo, wakuu wekeni wazi usumbufu ulioko geto, raha za geto, pamoja na mihangaiko,
Gheto linaitaji kodi tu ukiweza hiyo hakuna usumbufu kamwe.
[emoji125][emoji125][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Geto ni bata tu, ila tatizo unakuta bado wiki moja kodi kuisha halafu hunakitu mfukoni yaan unapoa kila simu ikipigwa unajua ni mwenyenyumba kaanza kukumbusha kodi mpya

Afu kukaa home sio mcho hebu waache hao wapenzi wa zamani waendelee na maisha yao unawaongezea bajeti tu.
Ila jipange kabisa jiko la gesi la mkaa ni nouma sana linatia uvivu kishenzi hasa msimu wa mvua. Usikose kasabufa na ka laptop au ka tv, ila sabufa uwe nalo hata la elfu 40 tu sio mbaya litakusapoti sanaaa.

Chonga kitanda angalau futi 5 kwa 6 na godoro jipya mashuka n.k usichukue vya home ni kosa la jinai hutaendelea utawaza home tu. Masufuria mapya, sahani ,ndooo kubwa na ndogo jaba pia angalau moja. C unajua kuchota maji kila siku ni jau ukijaza jaba na ndoo kubwa 2. Yatakaa wiki nzima.

Uzuri wa gheto linakupa akili ya maisha kila ukipata hela unawaza uongeze zaga maghetoni

Angalizo: usiwe kma mr Zero IQ, kuchakata papuchi kila siku hilo gheto litakua haliendelei misosi haikau na kufuia kuta kuhusu. Tafuta manzi mmoja mzurii kiasi chake awe huyo, huyo hata kama huna malengo nae lkn usibadilushe mademu gheto, gheto linalaanika litakua kama historical sites za kilwa kisiwani kule au fort jesus ya kenya (i mean haiendelei lipo la kushangaza tu).

Sheria nyingine ya gheto usitafune binti wa mwenyenyumba wala majirani utakua mtumwa
 
Si umepata ajira hapo tpa tulia basi vyote ivyo vitakuja
dah mzee unaniombea mazuri kinyama, ntatulia usiwaze ila tatizo ni kudeki, na kupika na kuoa sitaki kabisa ata kusikia
 
wewe ndo umenipa elimu kabisaa, kumbe bi mkubwa alikua ananipoteza juzi katoka kusema atanipa vyombo, na kiti.

na sabufa na redio, vipo nje nje, pamoja na brenda kiufupi alisema atanipa ving vng, kumbe ntakumbuka home, ishakua jau,

Afu io ya kuchakata nilkua sijui, kabisa bas ntakua nachakata mbili, nyngne ntakua napeleka nakojua mimi, na ukichakata mtoto wa mwenye nyumba au jirani nini kinatokea
Geto ni bata tu, ila tatizo unakuta bado wiki moja kodi kuisha halafu hunakitu mfukoni yaan unapoa kila simu ikipigwa unajua ni mwenyenyumba kaanza kukumbusha kodi mpya
Afu kukaa home sio mcho hebu waache hao wapenzi wa zamani waendelee na maisha yao unawaongezea bajeti tu.
Ila jipange kabisa jiko la gesi la mkaa ni nouma sana linatia uvivu kishenzi hasa msimu wa mvua. Usikose kasabufa na ka laptop au ka tv, ila sabufa uwe nalo hata la elfu 40 tu sio mbaya litakusapoti sanaaa.
Chonga kitanda angalau futi 5 kwa 6 na godoro jipya mashuka n.k usichukue vya home ni kosa la jinai hutaendelea utawaza home tu. Masufuria mapya, sahani ,ndooo kubwa na ndogo jaba pia angalau moja. C unajua kuchota maji kila siku ni jau ukijaza jaba na ndoo kubwa 2. Yatakaa wiki nzima.

Uzuri wa gheto linakupa akili ya maisha kila ukipata hela unawaza uongeze zaga maghetoni

Angalizo: usiwe kma mr Zero IQ, kuchakata papuchi kila siku hilo gheto litakua haliendelei misosi haikau na kufuia kuta kuhusu. Tafuta manzi mmoja mzurii kiasi chake awe huyo, huyo hata kama huna malengo nae lkn usibadilushe mademu gheto, gheto linalaanika litakua kama historical sites za kilwa kisiwani kule au fort jesus ya kenya (i mean haiendelei lipo la kushangaza tu).

Sheria nyingine ya gheto usitafune binti wa mwenyenyumba wala majirani utakua mtumwa
 
[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] dah, vp kulala peke ako geto na hii baridi, s unaweza jikuta umeoa mtoto wa diwani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hiyo ajari kazini mkuu
 
Back
Top Bottom