Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kabisa mkuuKimbembe cha getto huwa ni kuanza tu, mengine sijui ya kuishiwa kodi, kudaiwa umeme na maji au kuishiwa msosi ni kawaida na huwa solution zinakujaga tu mpka unashanga unelipitaje hilo suala
ghetto huwa halidekiwi
Jamani hii ni terminology mpya nini? Kumbe papuchi zinachakatwa. Kweli Tanzania ya viwanda ipo juuGeto ni bata tu, ila tatizo unakuta bado wiki moja kodi kuisha halafu hunakitu mfukoni yaan unapoa kila simu ikipigwa unajua ni mwenyenyumba kaanza kukumbusha kodi mpya
Afu kukaa home sio mcho hebu waache hao wapenzi wa zamani waendelee na maisha yao unawaongezea bajeti tu.
Ila jipange kabisa jiko la gesi la mkaa ni nouma sana linatia uvivu kishenzi hasa msimu wa mvua. Usikose kasabufa na ka laptop au ka tv, ila sabufa uwe nalo hata la elfu 40 tu sio mbaya litakusapoti sanaaa.
Chonga kitanda angalau futi 5 kwa 6 na godoro jipya mashuka n.k usichukue vya home ni kosa la jinai hutaendelea utawaza home tu. Masufuria mapya, sahani ,ndooo kubwa na ndogo jaba pia angalau moja. C unajua kuchota maji kila siku ni jau ukijaza jaba na ndoo kubwa 2. Yatakaa wiki nzima.
Uzuri wa gheto linakupa akili ya maisha kila ukipata hela unawaza uongeze zaga maghetoni
Angalizo: usiwe kma mr Zero IQ, kuchakata papuchi kila siku hilo gheto litakua haliendelei misosi haikau na kufuia kuta kuhusu. Tafuta manzi mmoja mzurii kiasi chake awe huyo, huyo hata kama huna malengo nae lkn usibadilushe mademu gheto, gheto linalaanika litakua kama historical sites za kilwa kisiwani kule au fort jesus ya kenya (i mean haiendelei lipo la kushangaza tu).
Sheria nyingine ya gheto usitafune binti wa mwenyenyumba wala majirani utakua mtumwa
Vp bado unachungulia hotpot mkuu?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]dah aisee bado nachungulia hot pot ila karibia nafukuzwa
[emoji2] [emoji2] [emoji2]kama huna sabufa basi hapo sio ghetto..
Ghetto bila suubwoofer ni sawa na choo tu.