Umuhimu wa kukaa ghetto

Dah...Kama ulizoea hotpot family...Basi life ya ghetto utaiona taf Sana[emoji2960]
 
Gheto kuna kitanda, feni ya kishkaji , sabufa, desktop jiko la gas na vyombo tu vichache sina makoro koro mengi mkuu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] vip huchezagi game, na box la ndom huna
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], dah mzee, em ngoja nihustle kwanza ila naskia geto watu wanatafunwa
Mimi siku ya kwanz geto nililala chini mkuu,,, lkn sahivi geto limejaa,,, hakuna kinachoshindikana chini ya jua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…