Umuhimu wa kuombea zawadi za harusi kabla ya kuzifungua

Umuhimu wa kuombea zawadi za harusi kabla ya kuzifungua

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Ni jamboo moja unaweza hisi la kawaida lakini limetesa ndoa nyingi sana sana mno bila wao kuzijua. Wapo walioshtukia lakini walishapigwa sana hata amani hakuna tena ndoa src yale mabox mliokimbilia kufungua

Zawadi za harusi n jambo jema lakini kuziombea kabla ya kufungua ni bora zaidi. Watu wengi wanapigwa ni this. Mfano tu kwenye ndoa yangu nilijichanganya tuko hotelini tukafungua box zina khanga mbichi katikati kuna jiwe limezungushwa. Haikutosha tuko njwi na dompo tukafungua moja lina nazi zimepasuliwa zimeoza acha kabisa

Kikawaida tukazitupa kwenye dustbin asikwambie mtu, moto wake ukaanzia kesho yake ni shida hao malaya wako na wale wanasema mabwana zako. Mwisho wake naujua mimi

Wale mnaoenda kuoa na kuolewa mjitahidi sana kusali kumwomba Mungu ssana hizo zawadi ndipo mfungue. Ukiona huna imani ita hatawatumishi wa Mungu wakusaidie kuomba, usiogope ndoa zipo changamoto zipo lakini uimara wako ndio utakufanya

Ubaki
Ama uendelee kwenye ndoa
Ama uitwe mjane kabla ya mdawako
Be strong
Never give up
 
...umerudia ule uandishi wako wa kilatini sio ?!..haueleweki
 
ilishanikuta hii! nilichofanya mabox yote nilitupa jalalan kama yalivyo.
 
Usisahau kufungwa au kufunikwa kanga mkuu
 
Nilifungua kibox kwenye send off yangu kitupu kina kikaratasi tuu hakina maandishi. Tukakirusha huko nikafyonyaaa nikaona huyu nae amekula tuu chakula cha bure usikute ni wale wanaopewa kadi ya mtu aliechanga halafu hakua na muda wa kuja.
 
Nimeshindwa kusoma mpaka mwisho, unaandika kama unakimbizwa
 
KAKAYANGU
Nilifungua kibox kwenye send off yangu kitupu kina kikaratasi tuu hakina maandishi. Tukakirusha huko nikafyonyaaa nikaona huyu nae amekula tuu chakula cha bure usikute ni wale wanaopewa kadi ya mtu aliechanga halafu hakua na muda wa kuja.
ALIKUTANA NA MAWE YAMECHONGWA KAMA VIATU AKAJUA HANA SHIDA ZA VIATU TENA THUBUTU AFUNGUE WALE WALIOWAH KUPIGWA CHANGA LA MACHO KARIAKOO MNAELEWA HILI ACHAKABISA . BOX LINGINE AKAKUTANA NA MATAMBARA YA MAFUNDI NGUOO YALE WANAYOKUSANYA WANATUPA MWAKA ULIKUWA KAMA VITA
 
Daah, umenikumbusha harusi m moja hivi, nahisi kama wageni waliambiana maana kila ukifungua boksi unakutana na seti ya glasi.
 
Uko sahihi mkuu, kuna wanandoa honeymoon iliingia dosari baada ya kufungua zawadi za harusi.

Binadamu wabaya sana, wanaendekeza mno ushirikina sababu ya wivu, chuki na husda.
 
Back
Top Bottom