thanks again and have you
JF-Expert Member
- May 11, 2023
- 230
- 426
Habari ya asubuhi!
Ndugu zangu Mimi ni mmoja wa Kijana niliyepitia shule za seminary. Hizi shule japo zina weaknesses zake lakini ni nzuri kumuandaa mtoto hasa katika Makuzi ya kiroho !
Kuna Mambo mengi ambayo Mimi siwezi kuyafanya kutokana na "hofu ya Mungu" niliyojengeweza kipindi Cha Makuzi yangu ya shule.
Faida nilizozipata kule japo badae nilikuja kutoka;
1. Uvumilivu
2. Hofu ya Mungu
3. Msimamo
4. Upendo
5. Utii
Kama Mjuavyo "Mavuno ni mengi ila watenda kazi ni wachache" Upadre haukua wito wangu ,ila nilipata kujifunza Mengi Sana
Nawashauri wazazi hasa wakrsto wenye watoto wa kiume kuwapeleka shule hizi ili kupunguza matukio ya kikatili yanayochagizwa na ukosefu wa hofu ya Mungu.
Ndugu zangu Mimi ni mmoja wa Kijana niliyepitia shule za seminary. Hizi shule japo zina weaknesses zake lakini ni nzuri kumuandaa mtoto hasa katika Makuzi ya kiroho !
Kuna Mambo mengi ambayo Mimi siwezi kuyafanya kutokana na "hofu ya Mungu" niliyojengeweza kipindi Cha Makuzi yangu ya shule.
Faida nilizozipata kule japo badae nilikuja kutoka;
1. Uvumilivu
2. Hofu ya Mungu
3. Msimamo
4. Upendo
5. Utii
Kama Mjuavyo "Mavuno ni mengi ila watenda kazi ni wachache" Upadre haukua wito wangu ,ila nilipata kujifunza Mengi Sana
Nawashauri wazazi hasa wakrsto wenye watoto wa kiume kuwapeleka shule hizi ili kupunguza matukio ya kikatili yanayochagizwa na ukosefu wa hofu ya Mungu.