Mbona nyie mnavaa sketi fupi hatusemi.Halafu unakuta kavaa mlegezo sasa na hiyo boxer huko ndani ilishabadilika rangi imekuwa kama rainbow haieleweki kama ni nyeupe,nyeusi yani shida tupu
Mlegezo siachi ata nikiwa mzee, ingawa boxer yangu huwezi kuiona ata siku moja, huwa nikuvaa mlege.. Natembea comfortably compared na kujikaza tumbo kwani nimezaa[emoji41] [emoji41] [emoji41]Halafu unakuta kavaa mlegezo sasa na hiyo boxer huko ndani ilishabadilika rangi imekuwa kama rainbow haieleweki kama ni nyeupe,nyeusi yani shida tupu
Hahahaha sasa hiyo ni comment gani?Mbona nyie mnavaa sketi fupi hatusemi.
Haha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwahiyo unawashauri watu waanze kuvaa suspender au?
Weee yaani shida tupu!Halafu unakuta kavaa mlegezo sasa na hiyo boxer huko ndani ilishabadilika rangi imekuwa kama rainbow haieleweki kama ni nyeupe,nyeusi yani shida tupu
Hahaha samahani mkuu umeniweza. Hata siongei tena. hahahhahWe vipi ndugu....hujaona watu wazima na hata wazee wamevaa mlegezo.
Pande fulani hivi za Jamuhuri ya watu wa Arusha.Nchi gani hiyo mkuu?
Wewe ni mwanaume au mwanamke?Mlegezo siachi ata nikiwa mzee, ingawa boxer yangu huwezi kuiona ata siku moja, huwa nikuvaa mlege.. Natembea comfortably compared na kujikaza tumbo kwani nimezaa[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Kwa sababu napendaSababu ni nini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13]hatupendi kuvaa mlegezo..shida ni kuwa tunabeba simu kubwa na wallet zenye pesa mingimingi so uzito unazidi
Uje uniguse nikutie vitasa urudi nyumbani una madirisha mdomoni[emoji41] [emoji41]Mimi nikikuta kijana ameshusha sarawili.....lazima nimshike makalio.....