Umuhimu wa kuvaa mlegezo

wanaume wa dar ndo wanaongoza wakifuatiwa na machalii wa chuga.hili swala linaenda sambamba na wanawake watu wazima kuvaa vimini kuonesha mamichilizi kwenye mapaja yao yalioanza kufubaa hii ni tatizo tujitahid kujieshim kadil ya umri unavyoenda

watu wata kujaji kutokana na muonekano wako wa nje tuu wanajua hili bure tuu shake well before use
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…