Nimeshangaa kuona daraja la jipya la Tanzanite linaweza kufungwa ili Watanzania waangalie mpira lakini Serikali haikuona haja ya kuweka tozo.
Namaanisha daraja hili linatumika kama express route kwamba unapita kuharakisha safari ila unaweza kupita barabara ya kawaida ya mzunguko.
Kwa upande wa Nyerere Bridge (Daraja la Kigamboni) hili huwezi kufikiria kabisa kufanya tukio kama hilo.
Daraja lina umuhimu mkubwa kwa wananchi ila lazima ulipe tozo ya kuvuka.
Hoja ya kufuta tozo Daraja la Kigamboni haipingiki!
Namaanisha daraja hili linatumika kama express route kwamba unapita kuharakisha safari ila unaweza kupita barabara ya kawaida ya mzunguko.
Kwa upande wa Nyerere Bridge (Daraja la Kigamboni) hili huwezi kufikiria kabisa kufanya tukio kama hilo.
Daraja lina umuhimu mkubwa kwa wananchi ila lazima ulipe tozo ya kuvuka.
Hoja ya kufuta tozo Daraja la Kigamboni haipingiki!