Umuhimu wa matiti kwa mwanaume

pol dauda

Senior Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
126
Reaction score
45
Hello!!!
Ndugu zangu mimi nilishafikria nkatafakari saaana kuhusu suala la mwanaume kuwa na matiti ni ipi? Yana kazi gani kwanini tulipewa!?! Natambua kuwa hakuna kiungo ktk mwil wa binadamu kisicho na kazi, yaweekana kuna namna flan napenda nifahamu.

Maana najua kazi ya matiti kwa wanawake, ambayo huwasaidia kupitisha maziwa kwa ajiri ya mtoto. Je, kwa wanaume sasa ni vipi?!Nataman kuelewa """

Asante, toa point
 

Yakiwa makubwa ambayo mn ndiyo lzm nione hiyo sifa kabla sijatongoza yana faida sana!
Mama akiwa ktk siku zake(period) mtu mzima naminywa hapo ‘Abdalllah kichwa wazi’ hadi nacheua
Kwangu sifa ya kwanza ya mdada lzm awe nayo makubwa sababu huwa yananiokoa sana wkt wa ‘njaa’ sista du akiwa anaumwa
 
Kwani wanyama wengine hawana??? Uliwahi kujiuliza umhimu wa nywele kichwani na sehemu zingine zikiwemo za siri??
 
Mungu alijisahau tu katika uumbaji, kimsingi hayana maana yoyote kama unaweza yatoe
 
Hujapata mwanamke anayejua kuyatumia.
Kazi yake ni kuchochea ashiki
 
Mbona mimi sina matiti?
 

0%.

Soma swali ujaribu tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…