pol dauda
Senior Member
- Sep 21, 2017
- 126
- 45
Hello!!!
Ndugu zangu mimi nilishafikria nkatafakari saaana kuhusu suala la mwanaume kuwa na matiti ni ipi? Yana kazi gani kwanini tulipewa!?! Natambua kuwa hakuna kiungo ktk mwil wa binadamu kisicho na kazi, yaweekana kuna namna flan napenda nifahamu.
Maana najua kazi ya matiti kwa wanawake, ambayo huwasaidia kupitisha maziwa kwa ajiri ya mtoto. Je, kwa wanaume sasa ni vipi?!Nataman kuelewa """
Asante, toa point
Ndugu zangu mimi nilishafikria nkatafakari saaana kuhusu suala la mwanaume kuwa na matiti ni ipi? Yana kazi gani kwanini tulipewa!?! Natambua kuwa hakuna kiungo ktk mwil wa binadamu kisicho na kazi, yaweekana kuna namna flan napenda nifahamu.
Maana najua kazi ya matiti kwa wanawake, ambayo huwasaidia kupitisha maziwa kwa ajiri ya mtoto. Je, kwa wanaume sasa ni vipi?!Nataman kuelewa """
Asante, toa point