tausi900
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 224
- 166
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] so jamaa saiv anashake mpaka makalio sio. Afu unakuta mtu juu kajaza chini miguu spoku za baiskelidanganya tu wenzako wapenda sifa mjomba wangu alikuwa anajifanya mtemi na mivyuma yake, sasa hivi kapata ugonjwa wa kushake mikono mpka matako,vijana wengi wanajiona wajanja kunyanyua mivyuma but time will tell