Umuhimu wa mazoezi ya kunyanyua vitu vizito, kupiga chuma (Weight Training) kwa wanaume

Umuhimu wa mazoezi ya kunyanyua vitu vizito, kupiga chuma (Weight Training) kwa wanaume

danganya tu wenzako wapenda sifa mjomba wangu alikuwa anajifanya mtemi na mivyuma yake, sasa hivi kapata ugonjwa wa kushake mikono mpka matako,vijana wengi wanajiona wajanja kunyanyua mivyuma but time will tell
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] so jamaa saiv anashake mpaka makalio sio. Afu unakuta mtu juu kajaza chini miguu spoku za baiskeli
 
Kuna jamaa kipindi tunasoma alikua anabeba chuma/nondo alikua na bonge la bodi ila akili darasani sifuri anaingia na vikaratasi kwenye mtihani. Ukimkagua kipindi anaingia kwenye mtihani hivo vikaratasi kidastibini kinajaa.
So point zako namba ngapi na namba ngapi UWONGO
Kwamba mabaunsa wanakuwa magenius [emoji16][emoji16][emoji16] Hivi Sir. Isaac Newton nasikia nae alikuwa mtu wa gym sana tena sana[emoji3]
 
Haya tupe na mfano wa Mzee asiyefanya mazoezi anavyoshambuliwa na magonjwa angazia sana kisukari nk
Kuna mazoezi ya viungo kama squat, pushapu, kuruka kamba, kukimbia...sasa hayo kubeba vyuma husababisha matatizo unakuta mtu baadae anapata Hernia..
 
Haya leteni hoja zenu et nini kinaendelea humu mbona naona watu wanataka kupigana, basi mi refa na kipenga napuliza🤪🤦🤣
 
Mazoezi yote yanafaida hizo,ila kuna mazoezi yanafaida kuliko mazoezi ya kunyanyua vitu vizito,karibu uwanja wa mazoezi bila nondo,ila utakimbia tu hili tizi bin tizi.
 
Uwezo wa ngono ni asili ya mtu.

Akili pia ni nature.

Ni poa sana kufanya mazoezi. Yanakufanya uwe organized, hapa ni mazoezi yote bila kujali uzito au kuruk kichura chura.

The burning sensation of muscles yet you wana keep going, nini kinaizidi hii feeling? Hakuna
 
danganya tu wenzako wapenda sifa mjomba wangu alikuwa anajifanya mtemi na mivyuma yake, sasa hivi kapata ugonjwa wa kushake mikono mpka matako,vijana wengi wanajiona wajanja kunyanyua mivyuma but time will tell
Mimi sio mpigaji chuma ila alio yaeleza jamaa ni yauhakika HAYO.
Kwasababu watu wanaofanya mazoezi ni wachache kwasababu hautaingia Leo mwili ukabadilika zoezi linahitaji mtu thabiti ...nakama ww unamsongo WA mawazo fanya mazoezi...akili itakaa swa tu kiugupi mlio comment hamuna ELIMU yoyote kuhusiana na mazoezi mazoezi yapo aina
Niulize kwanini watu WA Zamani walikua wanaishi sana
Kwasababu wao walikua wakifanya KAZI zanguvu na ilikua hakuna technology yoyote wakati huo .seli za mwili zilijijenga vzr
Sasa KARNE yetu Sasa hakuna KAZI zanguvu kiivo NDOMANA watu huchakaa maramoja ..nawatu wanaochakaa maramoja unakuta ni watu WA Town ila wale wavijijini huishi miaka mingi sana kwasababu miwili yao inajengwa na KAZI NGUVU..
 
Back
Top Bottom