[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] so jamaa saiv anashake mpaka makalio sio. Afu unakuta mtu juu kajaza chini miguu spoku za baiskelidanganya tu wenzako wapenda sifa mjomba wangu alikuwa anajifanya mtemi na mivyuma yake, sasa hivi kapata ugonjwa wa kushake mikono mpka matako,vijana wengi wanajiona wajanja kunyanyua mivyuma but time will tell
Kwamba mabaunsa wanakuwa magenius [emoji16][emoji16][emoji16] Hivi Sir. Isaac Newton nasikia nae alikuwa mtu wa gym sana tena sana[emoji3]Kuna jamaa kipindi tunasoma alikua anabeba chuma/nondo alikua na bonge la bodi ila akili darasani sifuri anaingia na vikaratasi kwenye mtihani. Ukimkagua kipindi anaingia kwenye mtihani hivo vikaratasi kidastibini kinajaa.
So point zako namba ngapi na namba ngapi UWONGO
Kuna mazoezi ya viungo kama squat, pushapu, kuruka kamba, kukimbia...sasa hayo kubeba vyuma husababisha matatizo unakuta mtu baadae anapata Hernia..Haya tupe na mfano wa Mzee asiyefanya mazoezi anavyoshambuliwa na magonjwa angazia sana kisukari nk
Mimi sio mpigaji chuma ila alio yaeleza jamaa ni yauhakika HAYO.danganya tu wenzako wapenda sifa mjomba wangu alikuwa anajifanya mtemi na mivyuma yake, sasa hivi kapata ugonjwa wa kushake mikono mpka matako,vijana wengi wanajiona wajanja kunyanyua mivyuma but time will tell