Umuhimu wa Mpango wa biashara kwako Mjasiriamali

kijana13

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
1,981
Reaction score
3,631
Habarini wakuu.
Kwako Mjasiriamali unayetaka kuanzisha biashara au uliyeko kwenye biashara lazima utambue umuhimu wa kuwa na mpango wa biashara (business plan).
Malengo yake ni
1.kukusaidia Mjasiriamali kupata uelewa mzuri zaidi wa fursa uliyoiona-kimalengo na uhalisia
2.itakuonyesha uwezekano wa biashara kukua na kufanikiwa.
3.itakusaidia katika kupanga na kutawala na kukuandaa kimafanikio.
4.unaeleza malengo yako,washindani wako,utawala wako na wafanyakazi.
5.msingi wa vyanzo vya Mtaji kama mikopo etc.
6. Etc
Njoo nikuandikie business plan ndogo au ya kati au kubwa. welcome sana
 
ili business plan iwe na mashiko inabidi itengenezwe na mjasiriamali mwenyewe na si mtu mwingine. mjasiriamali ambae kwa kiasi kikubwa ndiye mwenye idea ya biashara anatakiwa ajue namna gani ameplan kufanya biashara yake.

sasa kwa vile si kila mjasiriamali anaouwezo wa kudraft business plan...kazi ya mtaalamu inatakiwa kutoa tu mwongozo namna gani anaweza kumwezesha mjasiriamali akaandika plan ya biashara yake.

hoja yangu hapa ni kwamba mjasiriamali ndie anaejua namna anavotaka kuendesha biashara yake..ndie anaejua mazingira anayofanyia biashara yake..ndie anaejua changamoto katika eneo aliopo..ndie anaejua bei na gharama za uzalishaji..ndie anaejua potential market ya bidhaa yake.. sasa inapotokea mtaalamu anaetaka kumwandikia plan badala ya kutoa mwongozo namna mjasiriamali anavoweza kuendeshq biashara yake huwq nashindwa kuelewa
 

Mkuu mbona unajiuliza na unajijibu mwenyewe. ? Muandaaji wa business plan lazima apate full information kutoka kwa mwenye idea au Mjasiriamali then mwandaaji anatayarisha business plan kwa mtiririko vizuri na ushauri etc.
 
kama mtu anaanza biashara na anashindwa kuandaa simple business plan nina doubt kama ataweza kurun biashara professionally, sioni tatizo kuandaliwa business plan kwa ajili ya kuchukua mkopo bank kwa sababu baadhi ya bank wanaamini sana project write ups zilizofanywa na watu Fulani au sijui ndio mambo ya kupeana tenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…