Umuhimu wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba mpya.

Umuhimu wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba mpya.

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
haya ya Hamza ,Denmark na tozo na miamala ni katika harakati za CCM kutaka kutawala maisha nchi hii,hivyo nyumbu hawa CCM wanajaribu kupanga kila mipango ili wavuruge na kuzihamisha akili za watanzania wanaoanza kushika kasi katika kutaka uchaguzi wa nchi hizi mbili Tanganyika na Zanzibar usimamiwe na Tume huru na pia iwepo Katiba mpya iliyopatikana chini ya mfumo wa vyama vingi.

Hakuna cha Hamza wala polisi kupigana risasi wala Mbowe kuwa gaidi, wananchi wimbo ni mmoja na hawatayumbishwa na mateke ya nyumbu anaekata roho ,CCM wameshikwa na mhaho na hamna hata wa kuwapa maji ya kunywa ,maadui wakubwa wa Taifa hili ambao wamechonganisha vyombo vya ulinzi na usalama kwa raia .

Matatizo na kutoelewana kati ya polisi na raia ndio tulipo watanzania,polisi akiuliwa au kupigwa mwananchi anafurahia ,hali hii Miccm inaifurahia maana ni hali inajenga chuki miongoni mwetu raia na vyombo vya ulinzi kutofahamiana ni vita vya panzi kwani polisi wengi hali zao ndio kama zetu sie raia uhohehahe ,tofauti na wale Miccm miti,meza,matawi mashina hata baadhi ya majani ambao wamejimilikisha hii nchi na kujiona wao ni wao.

Sisi na mapolisi hali zetu ni moja sote ni panzi kunapotokea mtafaruku makunguru huwemo furahani. Hili mlijuwe haya yanayotokea wala MiCCM haina habari nayo wanaawaacha polisi na wananchi watoane roho.

MiCCM itajitokeza kwenye vyombo vya habari kuchochea na vyombo hivi visipoamka na wananchi kwa pamoja vikashituka kuwa CCM inawatumia kama ngazi,lakini kiujumla hawana thamani ya aina yeyote ile...!

CCM ni ya kuepukwa na panzi wowote watambue vita vyao watamalizana mapmabano ya polisi na hamza ni uthibitisho kwamba tumefikia hatua mbaya ya kugombanishwa ,sote tunashindwishwa na njaa ,polisi njaa tupu wananchi walio wengi njaa tupu.
 
CCM wanaiogopa katiba mpya kuliko wanavyomuogopa Mungu.
Mbona wanavichezea vyama vya upinzani sharubu.
Na vyama pinzani vinaiogopa CCM ?
Kitu kimoja ni kwa viongozi wa vyama pinzani kushindwa kuwaandaa watu kisaikolojia na kuwaweka katika hali ya utayari kwa lolote lile,bado havijafanikiwa kuweza kueleweka na wananchi,vinashindwa kuwajenga mori wananchi,kuwatoa woga wananchi ,ila hili la kuwatoa woga wananchi na wakafikia uthubutu labda wa kufanya mandamano ni jambo la hatari kwani jambo hili litaathiri vyama vingine iwapo CCM itaangushwa lakini ndio uhuru wa demokrasia .

WaTanganyika wanajipenda sana sana na hawawezi mapambano ya kisiasa ndio ukaona Miccm inawachezea sharubu.
 
haya ya Hamza ,Denmark na tozo na miamala ni katika harakati za CCM kutaka kutawala maisha nchi hii,hivyo nyumbu hawa CCM wanajaribu kupanga kila mipango ili wavuruge na kuzihamisha akili za watanzania wanaoanza kushika kasi katika kutaka uchaguzi wa nchi hizi mbili Tanganyika na Zanzibar usimamiwe na Tume huru na pia iwepo Katiba mpya iliyopatikana chini ya mfumo wa vyama vingi.

Hakuna cha Hamza wala polisi kupigana risasi wala Mbowe kuwa gaidi, wananchi wimbo ni mmoja na hawatayumbishwa na mateke ya nyumbu anaekata roho ,CCM wameshikwa na mhaho na hamna hata wa kuwapa maji ya kunywa ,maadui wakubwa wa Taifa hili ambao wamechonganisha vyombo vya ulinzi na usalama kwa raia .

Matatizo na kutoelewana kati ya polisi na raia ndio tulipo watanzania,polisi akiuliwa au kupigwa mwananchi anafurahia ,hali hii Miccm inaifurahia maana ni hali inajenga chuki miongoni mwetu raia na vyombo vya ulinzi kutofahamiana ni vita vya panzi kwani polisi wengi hali zao ndio kama zetu sie raia uhohehahe ,tofauti na wale Miccm miti,meza,matawi mashina hata baadhi ya majani ambao wamejimilikisha hii nchi na kujiona wao ni wao.

Sisi na mapolisi hali zetu ni moja sote ni panzi kunapotokea mtafaruku makunguru huwemo furahani. Hili mlijuwe haya yanayotokea wala MiCCM haina habari nayo wanaawaacha polisi na wananchi watoane roho.

MiCCM itajitokeza kwenye vyombo vya habari kuchochea na vyombo hivi visipoamka na wananchi kwa pamoja vikashituka kuwa CCM inawatumia kama ngazi,lakini kiujumla hawana thamani ya aina yeyote ile...!

CCM ni ya kuepukwa na panzi wowote watambue vita vyao watamalizana mapmabano ya polisi na hamza ni uthibitisho kwamba tumefikia hatua mbaya ya kugombanishwa ,sote tunashindwishwa na njaa ,polisi njaa tupu wananchi walio wengi njaa tupu.
Shida yako ni Tume Huruuuu auunataka CCM isitawalemaisha?
 
haya ya Hamza ,Denmark na tozo na miamala ni katika harakati za CCM kutaka kutawala maisha nchi hii,hivyo nyumbu hawa CCM wanajaribu kupanga kila mipango ili wavuruge na kuzihamisha akili za watanzania wanaoanza kushika kasi katika kutaka uchaguzi wa nchi hizi mbili Tanganyika na Zanzibar usimamiwe na Tume huru na pia iwepo Katiba mpya iliyopatikana chini ya mfumo wa vyama vingi.

Hakuna cha Hamza wala polisi kupigana risasi wala Mbowe kuwa gaidi, wananchi wimbo ni mmoja na hawatayumbishwa na mateke ya nyumbu anaekata roho ,CCM wameshikwa na mhaho na hamna hata wa kuwapa maji ya kunywa ,maadui wakubwa wa Taifa hili ambao wamechonganisha vyombo vya ulinzi na usalama kwa raia .

Matatizo na kutoelewana kati ya polisi na raia ndio tulipo watanzania,polisi akiuliwa au kupigwa mwananchi anafurahia ,hali hii Miccm inaifurahia maana ni hali inajenga chuki miongoni mwetu raia na vyombo vya ulinzi kutofahamiana ni vita vya panzi kwani polisi wengi hali zao ndio kama zetu sie raia uhohehahe ,tofauti na wale Miccm miti,meza,matawi mashina hata baadhi ya majani ambao wamejimilikisha hii nchi na kujiona wao ni wao.

Sisi na mapolisi hali zetu ni moja sote ni panzi kunapotokea mtafaruku makunguru huwemo furahani. Hili mlijuwe haya yanayotokea wala MiCCM haina habari nayo wanaawaacha polisi na wananchi watoane roho.

MiCCM itajitokeza kwenye vyombo vya habari kuchochea na vyombo hivi visipoamka na wananchi kwa pamoja vikashituka kuwa CCM inawatumia kama ngazi,lakini kiujumla hawana thamani ya aina yeyote ile...!

CCM ni ya kuepukwa na panzi wowote watambue vita vyao watamalizana mapmabano ya polisi na hamza ni uthibitisho kwamba tumefikia hatua mbaya ya kugombanishwa ,sote tunashindwishwa na njaa ,polisi njaa tupu wananchi walio wengi njaa tupu.
watakwama tu.
 
Mbona wanavichezea vyama vya upinzani sharubu.
Na vyama pinzani vinaiogopa CCM ?
Kitu kimoja ni kwa viongozi wa vyama pinzani kushindwa kuwaandaa watu kisaikolojia na kuwaweka katika hali ya utayari kwa lolote lile,bado havijafanikiwa kuweza kueleweka na wananchi,vinashindwa kuwajenga mori wananchi,kuwatoa woga wananchi ,ila hili la kuwatoa woga wananchi na wakafikia uthubutu labda wa kufanya mandamano ni jambo la hatari kwani jambo hili litaathiri vyama vingine iwapo CCM itaangushwa lakini ndio uhuru wa demokrasia .

WaTanganyika wanajipenda sana sana na hawawezi mapambano ya kisiasa ndio ukaona Miccm inawachezea sharubu.
Vyama vya upinzani mpaka mikutano ya ndani wanazuiwa hakuna namna ya kuratibu
 
Back
Top Bottom