Miaka kama miwili wazungu walipotaka kuanzisha VAR, baadhi ya mashabiki waliponda kwa madai kuwa, VAR itapunguza ladha ya mpira.
Kiuhalisia, waanzilishi wa VAR ni watu wanaoona mbali, kwa sabab waliona l kuna watu wametumia mamilion ya pesa kuwekeza katika soka iweje timu ifungwe kirahisi rahisi!
Kilichotokea leo katika mechi ya Namungo na Yanga, hakika tunaona umuhimu wa VAR katika soka la Tanzania na Afrika kwa ujumla!
Kwani kuna ubaya gani wakianza kutumia VAR za azam tv, yaani ile replay wakati wa mechi!
Kiuhalisia, waanzilishi wa VAR ni watu wanaoona mbali, kwa sabab waliona l kuna watu wametumia mamilion ya pesa kuwekeza katika soka iweje timu ifungwe kirahisi rahisi!
Kilichotokea leo katika mechi ya Namungo na Yanga, hakika tunaona umuhimu wa VAR katika soka la Tanzania na Afrika kwa ujumla!
Kwani kuna ubaya gani wakianza kutumia VAR za azam tv, yaani ile replay wakati wa mechi!