Umuhimu wa vijana kuwa na uzalendo na kufundishwa uzalendo wanapojiunga na majeshi ya ulinzi na usalama

Umuhimu wa vijana kuwa na uzalendo na kufundishwa uzalendo wanapojiunga na majeshi ya ulinzi na usalama

Lidafo

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
889
Reaction score
1,789
Kwanza nitoe pongezi kwa majeshi yote ya ulinzi na usalama kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kulinda amani na mipaka ya nchi yetu, Huu ni mtazamo wangu kwa jinsi ninavyotazamia haya masuala ya ulinzi na usalama.

Kuna jambo ambalo kama serikali inabidi ilizingatie kwa maslahi mapana ya taifa, Jambo hilo ni umakini na mabadiliko katika kutafuta na kufundisha askari wa majeshi yetu ya ulinzi na usalama.

Hapa nitazungumzia mambo wawili, Jambo la kwanza ni uzalendo wa vijana wanaojiunga na Jeshi. Ifahamike kuwa kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wanaojitokeza kuomba nafasi pale zinapotangazwa katika majeshi ya ulinzi na usalama ikiwemo polisi, magereza, uhamiaji, zimamoto na JWTZ, Kwa haraka haraka jambo hili halitii wasiwasi wowote kwa taifa bali linatoa hamasa na Faraja kwa taifa, kuwa kuna vijana wanaotaka kulitumikia taifa.

Hoja yangu ipo kwenye Je ni kweli vijana hawa wanapenda kulitumikia taifa na Jeshi au wanakuja Kwakuwa hakuna option nyingine? Namaanisha ajira zimekuwa ngumu miaka hii.

Kwa experience niliyonayo na picha ya haraka niliyoipata nasema hivyo Kwakuwa nimewahi hudhururia interview za majeshi mbalimbali. Ukiwa unaongea na kubadilishana mawazo na co-interviewee utagundua kuwa wengi wanataka kujiunga na majeshi ya ulinzi na usalama for the reason of making life only and no other reason ijapokuwa kwenye interview wanasema sababu tofauti kama uzalendo na mapenzi kwa Jeshi.

Jambo hili la vijana kutaka kujiunga na majeshi kwa sababu za kimaisha si jambo la kupuza hata kidogo kwani wengi katika wasomi wa fani tofauti kwa ngazi za elimu tofauti kimbilio limekuwa ni Jeshi, Hii inamaanisha kuwa maafisa wengi wa Jeshi kwa siku za usoni watakuwa wameingia katika vyombo vya ulinzi na usalama, Maafisa hawa ndio tutao wategemea kulinda amani ya Tanzania lakini pia ndio tutawatumia katika masuala yato yanayohusu ulinzi na usalama kwa taifa hili.

Je kwa sababu hii hatuoni umuhimu wa kuwa na vijana wazalendo wa kweli kwa taifa?

Kama tutakuwa na askari wanaoingia kwa ajili ya pesa tutegemee rushwa, uvunjwaji wa haki za binadamu, uasi Pamoja na tamaa za madaraka kukithiri katika majeshi yetu. Hivyo, Kuepuka yote haya ni lazima tuwe na mipango ya uhakika katika kuandaa askari bora Zaidi na wenye weledi kwa Jeshi letu.

Jambo la pili linatokana na swali hili..Ikiwa askari wamejiunga na jeshi kwa sababu ambayo si uzalendo kwa nchi, Je kuna uwezekano wa kuwafanya kuwa wazalendo ?Hapa niseme kuwa ndio kuna uwezekano wa mtu kufundishwa uzalendo, Ndio maana nikasema kuna haja ya kubadilisha kidogo mitaala ya kijeshi mbali na mafunzo ili iweze kuwajengea uzalendo wa kweli askari wetu.

Uzalendo unafundishwa kwa njia mbalimbali, Lakini kwanza tujiulize kwanini vijana wanajiunga na majeshi yetu bila uzalendo? Kisha ndio tuainishe njia za kufundisha uzalendo. Sababu za askari wetu kutokuwa na uzalendo ni pamoja na kutokujua historia ya nchi yetu, Historia za wapigania uhuru Pamoja na umuhimu wa amani tuliyonayo. Ikiwa utakuwa kuwa na askari ambaye hajui historia ya nchi yake vipi ataweza kukipenda na kukilinda asichokijua?

Lakini pia askari wetu wanakosa uzalendo kwa sababu ya kutoelewa Jeshi ni nini hasa, kwanini wao ni askari, Kwanini serikali inagharamikia pesa nyingi ili wao wawe trained. Tukiweza kufundisha kwa usahihi mambo haya tutaweza kuwajenga askari wetu katika misingi bora na automatic hisia za uzalendo zitamea katika nyoyo zao.
Katika kuwajengea uzalendo askari wetu tunaweza pia kuunda mfumo wa kimazoezi ili kuwajengea spirit ya kizalendo, Kwamba katika arena za mazoezi kufungwe bendera za nchi pembeni ili askari anapokuwa anateseka kwa ajili ya mafunzo ajue yote hayo anayapitia kwa ajili ya kuitumikia Tanzania, kila siku askari akiwa anaona hilo basi spirit ya ujasiri na uzalendo itajijenga kwake.

Jambo hili lifanyike Pamoja na kuimba nyimbo za kizalendo kila siku asubuhi na jioni kabla ya mazoezi yote kwa Pamoja yatasaidia kujengea askari wetu uzalendo.

Mwisho niseme huu ni mtazamo wangu binafsi, kama unatoka ya kuongeza kuhusu njia za kuwajengea uzalendo askari na viongozi wetu unaweza ongezea.

Nawasilisha. Asanteni
 
Mada nzuri lakini itaishi kinyonge sana kwakuwa habari za uzalendo wameshahubiriwa sana na kwa bahati mbaya sana walihubiriwa na watu wasio sahihi na muktadha mzima na maana yake yote ya uzalendo kupotoshwa pakubwa!

Daima wenye kuhubiri uzalendo ni wanasiasa na viongozi walio katika nafasi za juu na maisha ya ukwasi wasiojua chochote kuhusu maisha ya kitaa
 
Mada nzuri lakini itaishi kinyonge sana kwakuwa habari za uzalendo wameshahubiriwa sana na kwa bahati mbaya sana walihubiriwa na watu wasio sahihi na muktadha mzima na maana yake yote ya uzalendo kupotoshwa pakubwa!
Daima wenye kuhubiri uzalendo ni wanasiasa na viongozi walio katika nafasi za juu na maisha ya ukwasi wasiojua chochote kuhusu maisha ya kitaa
Ni kweli kabisa na hii inatoa tathmini tosha juu ya hali ya taifa letu ya miaka ya sasa na mbeleni. kwa maana uzalendo ni msingi wa maendeleo kwa sekta zote uchumi, ustawi mzuri wa jamii na usalama wa taifa. Matokeo ya rushwa, matumizi mabaya ya mamlaka na umaskini kwa kiasi kikubwa yamechangiwa na watu kukosa uzalendo.
 
Hakuna uzalendo kwenye njaa
Tukiamini kuwa hakuna uzalendo kwenye njaa, basi tuamini pia hakuna uzalendo kwenye shibe, Na hivyo je tuseme hakuna uzalendo kwa hali yeyote?.
Kwasababu tunaona watu wana mamlaka na hawana njaa na bado hatuoni athari za uzalendo kwao.
 
Kusema kweli vijana wengi sasa hivi hujiunga na jeshi Ili tu kutoboa maisha, huko wanakwambia ni uhakika wa pesa, naona ukiacha kidogo jwtz, majeshi mengine yote rushwa, tamaa, chuki, roho mabya, unafiki nk ni sehemu ya maisha Yao.

ukiacha vijana hawa wanaojiunga sasa hivi, hata hao waliojiunga huko nyuma ndio miongoni mwa waasisi wa kutotimiza wajibu, sisi tulikosea pakubwa sana toka miaka ya nyuma kabisa, sasa hivi Ili mambo yako yaende haraka inakubidi mara nyingi uwe na kitu kidogo kama bakhshishi huko majeshini, senior officer's ndo huongoza kufanya hivi ambapo hawa ndio huwafundisha junior officer's namna ya kuishi kitapeli.

suala la uzalendo naona ni connection ya vitu Vingi, uzalendo huwa unasemwa mdomoni tu lakini ukija matendoni Kila Mmoja anaijua nafsi yake ilivyo, huu ni unafiki ambao haukuanza Leo ulianza kitambo ,sema ulikuwa hausemwi, maafisa wengi huongea TU mdomoni ila wao wanajua kabisa hili niongealo hata Mimi silifanyi hapo hakuna huo uzalendo!.

Kama taifa naona bado hatujachelewa kabisa kuhimiza na kutenda kizalendo, tuna nafasi ya kurekebisha tunahitaji tu seriousness. Mfumo mzima uko corrupt inahitaji watu wenye nia ya dhati kuhimiza hili jambo, wapo maofisa Kwa kweli wanafanya kazi nzuri ijapokuwa wapo wachache.
 
Kusema kweli vijana wengi sasa hivi hujiunga na jeshi Ili tu kutoboa maisha, huko wanakwambia ni uhakika wa pesa, naona ukiacha kidogo jwtz, majeshi mengine yote rushwa, tamaa, chuki, roho mabya, unafiki nk ni sehemu ya maisha Yao.

ukiacha vijana hawa wanaojiunga sasa hivi, hata hao waliojiunga huko nyuma ndio miongoni mwa waasisi wa kutotimiza wajibu, sisi tulikosea pakubwa sana toka miaka ya nyuma kabisa, sasa hivi Ili mambo yako yaende haraka inakubidi mara nyingi uwe na kitu kidogo kama bakhshishi huko majeshini, senior officer's ndo huongoza kufanya hivi ambapo hawa ndio huwafundisha junior officer's namna ya kuishi kitapeli.

suala la uzalendo naona ni connection ya vitu Vingi, uzalendo huwa unasemwa mdomoni tu lakini ukija matendoni Kila Mmoja anaijua nafsi yake ilivyo, huu ni unafiki ambao haukuanza Leo ulianza kitambo ,sema ulikuwa hausemwi, maafisa wengi huongea TU mdomoni ila wao wanajua kabisa hili niongealo hata Mimi silifanyi hapo hakuna huo uzalendo!.

Kama taifa naona bado hatujachelewa kabisa kuhimiza na kutenda kizalendo, tuna nafasi ya kurekebisha tunahitaji tu seriousness. Mfumo mzima uko corrupt inahitaji watu wenye nia ya dhati kuhimiza hili jambo, wapo maofisa Kwa kweli wanafanya kazi nzuri ijapokuwa wapo wachache.
Umeeleza vizuri sana na huo ndio ukweli kuna maofisa wachache wenye uzalendo na hii nchi ila wanakatishwa tamaa na wengi ambao hawana uzalendo kabisa.
The immediately action and seriousness required to rescue the situation.
 
Napenda kuwaambia watoto wangu kwamba.....
Kwa nchi ilipo fikia ni bora waachane na fikra za ujamaa na wajikite kwenye ubepari, maana swala la uzalendo kwasasa halipo na ufisadi umetamalaki.
 
Napenda kuwaambia watoto wangu kwamba.....
Kwa nchi ilipo fikia ni bora waachane na fikra za ujamaa na wajikite kwenye ubepari, maana swala la uzalendo kwasasa halipo na ufisadi umetamalaki.
Hakuna ujamaa hapa nchini ila kuna mfumo wa kiuchumi unaoitwa "UNAFIKI".
 
Napenda kuwaambia watoto wangu kwamba.....
Kwa nchi ilipo fikia ni bora waachane na fikra za ujamaa na wajikite kwenye ubepari, maana swala la uzalendo kwasasa halipo na ufisadi umetamalaki.
Ni bora tukatafuta suluhisho la huo ufisadi ukapungua hata kwa 50 % and above kuliko ku escape tatizo.
Kama hali ya ufisadi kwa sasa ni hii..piga picha 25 yrs to come. We need the solution on this
 
Ni bora tukatafuta suluhisho la huo ufisadi ukapungua hata kwa 50 % and above kuliko ku escape tatizo.
Kama hali ya ufisadi kwa sasa ni hii..piga picha 25 yrs to come. We need the solution on this
Okay, unafikiri nini kifanyike??
Nini maoni yako ili kutokomeza ufisadi??
 
Kwanza nitoe pongezi kwa majeshi yote ya ulinzi na usalama kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kulinda amani na mipaka ya nchi yetu, Huu ni mtazamo wangu kwa jinsi ninavyotazamia haya masuala ya ulinzi na usalama.

Kuna jambo ambalo kama serikali inabidi ilizingatie kwa maslahi mapana ya taifa, Jambo hilo ni umakini na mabadiliko katika kutafuta na kufundisha askari wa majeshi yetu ya ulinzi na usalama.

Hapa nitazungumzia mambo wawili, Jambo la kwanza ni uzalendo wa vijana wanaojiunga na Jeshi. Ifahamike kuwa kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wanaojitokeza kuomba nafasi pale zinapotangazwa katika majeshi ya ulinzi na usalama ikiwemo polisi, magereza, uhamiaji, zimamoto na JWTZ, Kwa haraka haraka jambo hili halitii wasiwasi wowote kwa taifa bali linatoa hamasa na Faraja kwa taifa, kuwa kuna vijana wanaotaka kulitumikia taifa.

Hoja yangu ipo kwenye Je ni kweli vijana hawa wanapenda kulitumikia taifa na Jeshi au wanakuja Kwakuwa hakuna option nyingine? Namaanisha ajira zimekuwa ngumu miaka hii.

Kwa experience niliyonayo na picha ya haraka niliyoipata nasema hivyo Kwakuwa nimewahi hudhururia interview za majeshi mbalimbali. Ukiwa unaongea na kubadilishana mawazo na co-interviewee utagundua kuwa wengi wanataka kujiunga na majeshi ya ulinzi na usalama for the reason of making life only and no other reason ijapokuwa kwenye interview wanasema sababu tofauti kama uzalendo na mapenzi kwa Jeshi.

Jambo hili la vijana kutaka kujiunga na majeshi kwa sababu za kimaisha si jambo la kupuza hata kidogo kwani wengi katika wasomi wa fani tofauti kwa ngazi za elimu tofauti kimbilio limekuwa ni Jeshi, Hii inamaanisha kuwa maafisa wengi wa Jeshi kwa siku za usoni watakuwa wameingia katika vyombo vya ulinzi na usalama, Maafisa hawa ndio tutao wategemea kulinda amani ya Tanzania lakini pia ndio tutawatumia katika masuala yato yanayohusu ulinzi na usalama kwa taifa hili.

Je kwa sababu hii hatuoni umuhimu wa kuwa na vijana wazalendo wa kweli kwa taifa?

Kama tutakuwa na askari wanaoingia kwa ajili ya pesa tutegemee rushwa, uvunjwaji wa haki za binadamu, uasi Pamoja na tamaa za madaraka kukithiri katika majeshi yetu. Hivyo, Kuepuka yote haya ni lazima tuwe na mipango ya uhakika katika kuandaa askari bora Zaidi na wenye weledi kwa Jeshi letu.

Jambo la pili linatokana na swali hili..Ikiwa askari wamejiunga na jeshi kwa sababu ambayo si uzalendo kwa nchi, Je kuna uwezekano wa kuwafanya kuwa wazalendo ?Hapa niseme kuwa ndio kuna uwezekano wa mtu kufundishwa uzalendo, Ndio maana nikasema kuna haja ya kubadilisha kidogo mitaala ya kijeshi mbali na mafunzo ili iweze kuwajengea uzalendo wa kweli askari wetu.

Uzalendo unafundishwa kwa njia mbalimbali, Lakini kwanza tujiulize kwanini vijana wanajiunga na majeshi yetu bila uzalendo? Kisha ndio tuainishe njia za kufundisha uzalendo. Sababu za askari wetu kutokuwa na uzalendo ni pamoja na kutokujua historia ya nchi yetu, Historia za wapigania uhuru Pamoja na umuhimu wa amani tuliyonayo. Ikiwa utakuwa kuwa na askari ambaye hajui historia ya nchi yake vipi ataweza kukipenda na kukilinda asichokijua?

Lakini pia askari wetu wanakosa uzalendo kwa sababu ya kutoelewa Jeshi ni nini hasa, kwanini wao ni askari, Kwanini serikali inagharamikia pesa nyingi ili wao wawe trained. Tukiweza kufundisha kwa usahihi mambo haya tutaweza kuwajenga askari wetu katika misingi bora na automatic hisia za uzalendo zitamea katika nyoyo zao.
Katika kuwajengea uzalendo askari wetu tunaweza pia kuunda mfumo wa kimazoezi ili kuwajengea spirit ya kizalendo, Kwamba katika arena za mazoezi kufungwe bendera za nchi pembeni ili askari anapokuwa anateseka kwa ajili ya mafunzo ajue yote hayo anayapitia kwa ajili ya kuitumikia Tanzania, kila siku askari akiwa anaona hilo basi spirit ya ujasiri na uzalendo itajijenga kwake.

Jambo hili lifanyike Pamoja na kuimba nyimbo za kizalendo kila siku asubuhi na jioni kabla ya mazoezi yote kwa Pamoja yatasaidia kujengea askari wetu uzalendo.

Mwisho niseme huu ni mtazamo wangu binafsi, kama unatoka ya kuongeza kuhusu njia za kuwajengea uzalendo askari na viongozi wetu unaweza ongezea.

Nawasilisha. Asanteni
Uzalendo ni very funny concept

Mimi niache fani nzuri za kuweza kunipatia mali na mambo mengine eti niende kuisaidia serikali na wanasiasa kutawala wanadamu kwa kuwaumiza na ku-enforce politicians will on innocent people?

Serikali inataka kutumia nguvu juu ya wananchi ifanye yenyewe isinihusishe....

Mwananchi hata awe amekosa,serikali iwajibike yenyewe kufanya kazi zake,afterall naipa kodi yangu

Mimi au watoto wangu au yeyote anaenihusu ni marufuku kwenda serikali kufanya chochote iwe kazi au jeshi au nonsense yeyote

Serikali ni evil organization,which is there to impose itself on human beings

Serikali ndio zinazoongoza kwa kuvunja sheria

Serikali ndio zinazoongoza kwa kudhulumu watu vitu na haki zao

Serikali ndio zinazoongoza kwa kuua wananchi wake yenywe

Serikali ndio chanzo cha matatizo kwenye nchi,na wanaolipa gharama zote za ubaya huo ni innocent human beings na wala sio wanasiasa au watendaji wa hiyo serikali

Serikali ifanye makosa,halafu walipa gharama tuwe sisi wananchi na wala sio wao

Uzalendo is a stupid concept and I will never support anything linked with a word uzalendo

Serikali inapotaka kufunika madhambi yake inakimbilia neno uzalendo..kvmamae zao,mburukenge kabisa...wafwe wote na majengo yote ya serikali yaungue na wanasiasa wote wafwe kabisa!
 
Hakuna ujamaa hapa nchini ila kuna mfumo wa kiuchumi unaoitwa "UNAFIKI".
I hate ujamaa kwa nguvu zangu zote

Ujamaa ni ghost concept whereby kuisaidia serikali isisumbuke kuleta maendeleo kwa zile jamii zenye maendeleo duni kwa kutegemea jasho la zile jamii zenye maendeleo makubwa

Yaani alienacho ampe asie nacho maana yake huu ni unyonyaji wa nguvu na maarifa ya alie nacho kiliwe na yule ambae hajatumia muda na nguvu zake kufanya uzalishaji kuendesha maisha yake...unyonyaji huu upo sponsored na goverment in the form or UJAMAA....

Mfumo sahihi ni kila mwanadamu kwa uwezo bestowed to them by their creators wazalishe mali kadiri ya uwezo zao ili waweze kuishi na ku-sustain their own life...Sio wanadamu baadhi wadhani wanaweza ku-sustain their life kupitia jasho la wanadamu wengine

Ujamaa ni broad day light robbery from the rich and give it to the poor which is not fair and not sustainable....

Maana ukishachukua jasho la matajiri ukawapa masikini hizo mali zikaisha then wote wanakua masikini then utaenda kuchukua wapi mali kwa wengine kuwapa hawa masikini?Not sustainable at all.
 
Umeeleza vizuri sana na huo ndio ukweli kuna maofisa wachache wenye uzalendo na hii nchi ila wanakatishwa tamaa na wengi ambao hawana uzalendo kabisa.
The immediately action and seriousness required to rescue the situation.
Hakuna kitu kama hicho

Serikali ni inherently oppressive institution

Human beings resent governments.

In fact,government and its operators kama ni ruksa yangu wauawe wote,government especially Executive branch should be dissolved tuachie judiciary na parliment tu.

The source of all torture and problems in a society is a group of lunatic politicians running the government branch called executive

And this was made possible pale tulipowapa unheard incentive to executive to make bad decisions with no concequences!

If we introduce concequences to all bad decisions made by these politicians at the executive then the government will be a really useful government
 
Ni kweli kabisa na hii inatoa tathmini tosha juu ya hali ya taifa letu ya miaka ya sasa na mbeleni. kwa maana uzalendo ni msingi wa maendeleo kwa sekta zote uchumi, ustawi mzuri wa jamii na usalama wa taifa. Matokeo ya rushwa, matumizi mabaya ya mamlaka na umaskini kwa kiasi kikubwa yamechangiwa na watu kukosa uzalendo.
uzalendo ni msingi wa ujinga gani?

uzalendo ni blind obidience to the will of the government,of which,government is inherently evil organization

define uzalendo maana naona unataka kuleta story za ajabu...
 
Uzalendo ni hali ya mtu kuipenda, kuithamini na kujitoleza kwa ajili ya nchi yake.
uzalendo ni msingi wa ujinga gani?

uzalendo ni blind obidience to the will of the government,of which,government is inherently evil organization

define uzalendo maana naona unataka kuleta story za ajabu...
 
Uzalendo ni hali ya mtu kuipenda, kuithamini na kujitoleza kwa ajili ya nchi yake.
Nchi yake?

Una maanisha nchi yake au serikali yake?

Kuna tofauti kati ya nchi yake na serikali yake

Na africa,nchi na serikali ni kitu kimoja....

Therefore,ni upumbavu wa ajabu na hatari kubwa sana kua na "uzalendo" kwa hizi nchi zetu....

Nchi lazima itoe mazingira mazuri kwa mwananchi ili mwananchi aipende back at the same rate.....unfortunately,in our countries,this can not be done!

Uzalendo umeleta shida kubwa duniani,wanasiasa wanaitumia hii pale mambo yao yanapokua mabaya,then uzalendo unatumika kuua,na kusababisha maovu makubwa duniani

Uzalendo ni so dangerous just like religion....and both have caused biggest disasters in the world.....uzalendo ni very very stupid concept to human beings!
 
Back
Top Bottom