haya mambo ya mirathi bana,mi siyapendi kabisa hata kuyasikia! sasa huyo kijana wa 'nje', kwani babake alipokufa angekua kaacha kaptula tu na mashati ina maana maisha yake nayo yangekomea hapo? kwani mama yake anafanya nn? hii huwa inasababisha wanawake na sie kuwa na vitu vyetu tunaandika majina ya watoto na kuficha. yeye mama yake alipokua anakutana na mzee vichochoroni,alishindwa kumshawishi wafanye maendeleo? ilikua ni starehe tu na nyamachoma? (sorry im a bit harsh on this manake naamini mafanikio ya mwanamme yanaletwa na mkewe. kukimbizana kubana matumiz na kujenga sion mchezo bana! msione watu wamejirundikia mali..)
NB: ingekua mie mtoto wa nje ningekuwa kimya tu,sio kuingia na kugombea. ndo mambo yanayosababisha watu wanachukia watoto wa nje kwa kuwaona adui.