Umuhimu wa write-ups

Umuhimu wa write-ups

IPILIMO

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,819
Reaction score
801
Wapendwa Jf, watu wengi kwa sasa wanajishughulisha na miradi au biashara mbalimbali katika kupambana na umaskini au kujitoa katika ukata au katika harakati za kudumisha vipato vyao.
Shughuli nyingi za kujiletea maendeleo huanza kwa WAZO la biashara na kisha utekelezaji katika hatua kadhaa hufuatwa. Wengi wetu tuna tekeleza mawazo ya miradi husika baada ya kupata ushauri kutoka vyanzo mbalimbali, wengi wetu ni kwa marafiki na kwenye social network kama hizi.

Ila inapendekezwa na imeonyesha kufaulu endapo ushauri husika utaenda hadi katika upeo wa wataalamu wa mambo husika, mfano katika biashara wapo WASHAURI WAZURI, pia katika sheria na katika masuala ya KODI. Kabla ya kuanza kwa biashara husika ni vema Ujasiliamali husika ukawa na NGUVU ya ushauri kutoka vyanzo aminika. Kama kweli mjasiliamali au mfanya biashara yetote aliye makini na siliasi katika kufanikisha mradi wake hawezi kuogopa kupata USHAURI mzuri katika kutekeleza adhima ya wazo la mradi wake.

Wafanya biashara wengi nchini Tanzania; hasa wadogo (tafsiri yake izingatiwe), hufanya biashara kwa kuzingatia
ushauri wa kawaida- yaani kutoka vyanzo vya kawaida (visivyo vya kitaalamu), wengi wao hawapati ushauri wa kitaalmu na mbaya zaidi biashara nyingi hazina maandalizi ambayo ni physical; yaani business documention.

Kuandaa business documents ni mhimu hasa kwa miradi au biashara zilizo rasimishwa (ni vema biashara yako ikawa rasmi). Hapa NATAKA kusisitiza umuhimu wa Business WRITE-UPS katika kuanzisha au kuendeleza biashara yoyote iliyo na dira na mategemeo ya ukuaji endelevu. Watu wengi hapa wanao ona hakuna umuhimu kwakuwa mara nyingi biashara zao huendeshwa kwa mazoea.
MFANO Kuna wakati kama Project Consultant niliwahi kufanya tathimini ya biashara moja ya ndugu mmoja, kwakweli alinipa ushirikiano, RIPOTI ikaonyesha kwa muda wa miaka 5 biashara yake haijawahi kuingiza FAIDA (real profit). Na kwa namna fulani biashara yake ingetarajiwa kufa katika mda mfupi ujao, na pengine ingekuwa ishakufa endapo mwenye biashara asingeendelea kui-inject new capital kila mara.
Wakati wa kufanya tathimini ya biashara yake nilipata shida kwakuwa alipo anza hiyo business yake hakuandaa au kuandaliwa BUSINESS PLAN ambayo ingekuwa ni GROUND DOCUMENT na a Business assessing TOOL. Ukiacha document hii (BP) ambayo ni msingi wa biashara yako kwa maendeleo ya biashara husika HATA documents ndogo ndogo zenye taarifa ya baishara yake hazikuwepo, mwenyewe alijaaa maneno mengi kama hadithi, hivyo kutokuwa na kumbukumbu za kutosha na zenye manufaa ya kufanyia tahthimini.

Kutokana na mfano huu, tunaona kuwa kuna umuhimu mkubwa:
  1. kutafuta ushauri wa kitaalamu kuhusiana na biashara unayotaka kuanzisha au kama unataka kupanua biashara illiyopo kwakuwa umeona new opportunities nk
  2. Kuandaa General/a whole Business plan ambayo yaweza kuwa ya mda mfupi na mrefu- sio ya kukopi na kupaste tu BALI iwe ni DETAILED yenye taarifa kutokana na simple surveys/marketing reseaches (facts and figures ziwepo), yenye forecasts na projections za sales na revenues nk.
  3. Kuwa na documents ambazo ni za daily case ili kuwa na easy monitoring nk

Kwa leo naishia hapa, nitaendelea kufanya hivyo katika kila aspect mhimu kibiashara. ILA kwa USHAURI na KUANDALIWA DETAILED BUSINESS PLAN yenye maudhui na scope ya mradi husika kwa mazingira husika(kuandaa pamoja na kuelekezana) KARIBU TUKUHUDUMIE, hakika utafanikiwa. Tunatoa pia wasimamizi (project managers) kwa ajili ya miradi mbalimbali hasa ya ujenzi na mingineyo ambayo KAZI YETU itakuwa kuhakikisha kuwa Mkandarasi au Meneja wa mradi husika anakidhi matakwa ya mradi husika ikiwa pamoja na muda sahihi wa kwisha, matumizi sahihi ya rasilimali (Fedha, watu, vifaa nk), kuandaa document za kila hatua kutokana na kufanya monitoring and evaluation
Kampuni yetu KIMI DEVELOPMENT CONSULT LIMITED ipo kwa ajili ya wote wanaodhani kuwa USHAURI wa kitaalamu huleta tija tarajiwa.
Tutembelee: KIMI DEVELOPMENT CONSULT LIMITED
Call 0652-656565
OFISI ipo Mbeya; ila tunahamia mkoani Dar es salaam kuanzia January 2015.
 
Umeeleweka mhe. hadi natamani nipate CV yako na Profile yenu
 
karibu tomn naisi niliwahi kupata maelezo yako, kuwa mbeya hali sio nzuri kutokan mambo mbalimbal kwa hiyo shughul yko ila ukufik huku jaribu kufany vit rasinable with low prices kwa mwanzo ili kutengeneza jina, utakaofik tutitaj taarifa karibu dar
 
karibu tomn naisi niliwahi kupata maelezo yako, kuwa mbeya hali sio nzuri kutokan mambo mbalimbal kwa hiyo shughul yko ila ukufik huku jaribu kufany vit rasinable with low prices kwa mwanzo ili kutengeneza jina, utakaofik tutitaj taarifa karibu dar

asante mkuu "shaidi" ni kweli ulinishauri vema, nasasa niko katika harakati za mwisho, by january first, 2015 nitakuwa dar, then tutawasiliana bila shaka!!
 
Umeeleweka mhe. hadi natamani nipate CV yako na Profile yenu

NASHUKURU MR "CONSULT" Nadhani nawe ni mtu wa Field hii, mawazo yetu tukiya changa yaweza kuwa msaada katika tasnia hii. Niko Mbeya, ila huku kwa kazi hizi ni ngumu sana, Hivyo my plans ni kurudi na kuendeleza kazi hizi nikiwa Dsm. Nilishawahi kukosa kzai ya feasibility study kwa ofisi yetu kuwa dar!! mkuu ukinipa email yako nitaweza kukupa CV na Company's profile yaweza kuwa njia ya kufahamiana na kufanya yaliyo mengi yenye faida baina yetu.
 
kaka huku dar kila kitu kinawezekan watu ni mengi jipange kwa kufanya matangazo ya kutosha kwa estmation ya robo tabu ya wat wajue we ni nani, unafanya nini, na ofisi jitaidi iwe centra
 
Nawashukuru wakuu wote wanaoendelea kutoa comment zao, pia kwa wale walio niPM wanaohitaji huduma zetu. Nawakaribisha wadau wengine pia tuendelee kuhudumiana katika yale masuala ya msingi kwa maendeleo yetu sote.
 
Mkuu nikushukuru sana kwa maelezo ya kina, ni PM mawasilino yako nitakutafuta nikakamilisha mambo yangu. Kuna vitu ambavyo yawapasa kujiepusha navyo ambavya vinawaharibia watu wa fani hii. 1. Gharama zenu ni kubwa ambaza kwa wajasiliamali wanaoanza inakuwa changamoto. 2. Baadhi siyo waaminifu, hawakamilishi kazi kwa wakati na wanajihusisha na mambo mengi mengine hawatoi ushauri wa kujitosheleza. Mwisho nikwambie, karibu Dar.
 
NASHUKURU MR "CONSULT" Nadhani nawe ni mtu wa Field hii, mawazo yetu tukiya changa yaweza kuwa msaada katika tasnia hii. Niko Mbeya, ila huku kwa kazi hizi ni ngumu sana, Hivyo my plans ni kurudi na kuendeleza kazi hizi nikiwa Dsm. Nilishawahi kukosa kzai ya feasibility study kwa ofisi yetu kuwa dar!! mkuu ukinipa email yako nitaweza kukupa CV na Company's profile yaweza kuwa njia ya kufahamiana na kufanya yaliyo mengi yenye faida baina yetu.

Karibu sana IPILIMO email yangu ushauri.ubunifu@gmail.com
 
Mkuu nikushukuru sana kwa maelezo ya kina, ni PM mawasilino yako nitakutafuta nikakamilisha mambo yangu. Kuna vitu ambavyo yawapasa kujiepusha navyo ambavya vinawaharibia watu wa fani hii. 1. Gharama zenu ni kubwa ambaza kwa wajasiliamali wanaoanza inakuwa changamoto. 2. Baadhi siyo waaminifu, hawakamilishi kazi kwa wakati na wanajihusisha na mambo mengi mengine hawatoi ushauri wa kujitosheleza. Mwisho nikwambie, karibu Dar.

Thanks kaka, asante kwa ushauri. Nime kuPM.
 
kaka huku dar kila kitu kinawezekan watu ni mengi jipange kwa kufanya matangazo ya kutosha kwa estmation ya robo tabu ya wat wajue we ni nani, unafanya nini, na ofisi jitaidi iwe centra

SHAIDI nakushukuru kwa ushauri wako, nitafanyia kazi mara nikisha ingia dar rasmi. If you have more please let me know!! be blessed!!
 
Duh Nipatie price zako nina document nataka uimalizie. Tukutane Pm Mpwa wangu malafyale IPILIMO
 
Last edited by a moderator:
Kwa ushauri pekee wa kibiashara/kijasiriamali karibu sana NITAKUSHAURI BUREEEE ila kukuandalia Documents hapana sina muda,

Nahitaji memorandum na article of association.. vipi hapo?
 
Nahitaji memorandum na article of association.. vipi hapo?

Hello, Mtafute Mkuu CONSULT ambaye namwamini pia katika shughuli hizi, UKIKOSA basi tuwasiliane pia kwa 0652 656565 TUTAJADILI NA KUKUFANYIA UPENDAVYO NA USHAURI MZURI.
 
Back
Top Bottom