Umuue binadamu mwenzako kwa mawe kisa dini, halafu uje kugundua huyo 'Mungu' wako hayuko!


Ukinionyesha vifungu hivyo kwenye agani jipya hasa Injili ya Yesu Kristo nitaachana na ukristo leo hii.
 

Wakristo wanafuata mafundisho ya yesu kupitia injili nionyeshe maamlisho ya kuua wasio waimani ya kikirsto yaliyotolewa na kristo au mitume wake 12
 

Ukionyesha wapi biblia inataka hivyo nitakuelewa,pia tambua kuwapokea na kuwavuta katika imani waliopotoka ndio kazi kubwa ya Yesu kristo hapa duniani.
 
Uislam ni dini ya hasara kuwepo duniani,hawa watu wako possessed na shetani.
Vita vya dunia vya pili vilikuwa vita vikali zaidi katika historia ya wanadamu. Vyanzo rasmi vya majeruhi vinakadiria vifo vya vita katika karibu wanajeshi milioni 15 na vifo vya raia zaidi ya milioni 38.

Haya mauaji yamefanywa na Wakisristo lakini huwezi kuona wala kusema chochote sababu watu wa dini yako ndiyo wamehusika lakini wewe chuki yako dhidi ya Waislam tu na upo radhi kuongea chochote.

Usiwe punguani wewe! hapo sijakuwekea mauaji ya kimbari yaliyofanywa na Wakisristo wenzako
 
Unapozungumzia ukristo unazungumzia Injili.
Tuoneshe maandiko ya Injili yanayoruhusu visasi na kuuwa
 
Taja jina la Mungu wako acha uoga na kujificha ficha
mungu wake anafundisha kumpenda yeyote hata kama ana mapunguf sabab tunaeza kuwa na mapunguf zaid ya hao tuwaonao wana makosa , dini yenu inafundisha fujo
 
TB Joshua katajwa kwenye biblia ipi ? au Quran ipi ? bakia kwenye mada ushaanza mdharirisha Muddy kwa kumfananisha kumfananisha na TB Joshua
 
mliwaua mkata wakae kimya?
Kanuni ya ukristo ni Upendo.
"Mpende jirani yako kama nafsi yako "
"Mpende na kumuombea adui yako "
' mtu akikupiga kofi shavu la kushoto mgeuzie na la kulia.
Kisasi ni kwa Mungu.
Hii kanuni inayobeba Ukristo.
 
Unapozungumzia ukristo unazungumzia Injili.
Tuoneshe maandiko ya Injili yanayoruhusu visasi na kuuwa
Nitolee uharo wako eti injili😂😂
Unapozungumzia ukristo unazungumzia Injili.
Tuoneshe maandiko ya Injili yanayoruhusu visasi na kuuwa
wasome mabasha zako.

Kanisa Katoliki nchini Ujerumani limewaomba radhi wahanga wa vitendo vya unyanyasaji wa kingono kutoka kwa mapadri, huku Kadinali mwandamizi nchini humo akitaka wahusika wa vitendo hivyo kufikishwa mbele ya sheria.

Matamshi haya ya kufadhaisha yaliyotolewa na Kadinali Marx yamekuja wakati kanisa likichapisha ripoti mbaya inayoonyesha watoto 3,700, wengi wao wakuwa ni wa kiume nchini Ujerumani waliingiliwa kinyume na maumbile kati ya mwaka 1964 hadi 2014.
 
Kanuni ya ukristo ni Upendo.
"Mpende jirani yako kama nafsi yako "
"Mpende na kumuombea adui yako "
' mtu akikupiga kofi shavu la kushoto mgeuzie na la kulia.
Kisasi ni kwa Mungu.
Hii kanuni inayobeba Ukristo.
Umesahau ushoga na kulawiti watoto wa kiume.
 
Kwahiyo Mungu wa biblia alikuwa chizi alipowapa maandiko hayo binadamu ?
ila waislam sijui dishi limeyumba anaulizwa swali jingine anajibu kitu kingine , jibu swali unaeza thibitisha uwepo wa huyo mungu anaekufundisha kuua watu wengine
 
TB Joshua katajwa kwenye biblia ipi ? au Quran ipi ? bakia kwenye mada ushaanza mdharirisha Muddy kwa kumfananisha kumfananisha na TB Joshua
Mbona unakuwa mkal kawape lawama BBC.
 
kwan hujui kusoma ? kuna swali tangu muda unaulizwa ila hujibu unakwepa unajenga hoja isiyohusiana na swali , ebu swali acha utoto la sivyo huamin kama yupo mungu
 
anaebariki na anaefanya ushoga , nan wa kumlaumu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…