mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Meza diclopar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asante mkuu nakumbuka dawa ya sikio nilikosa ni bangi kuna mtu alinambia ukipata bangi mbichi uweke maji yake shida ikaja ntapata wapi bangi[emoji23] [emoji23] [emoji23] yan nilikuankama mjinga ninachoambiwa nipate ile relief sikio linauma jamani khaa na mwili wabinadam hauna shirika ukiumwa sikio jino had kichwa chote unaona sio chako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole na wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana mtoa mada leo analia Jino ila hajui kuna sikio,
Kiungo cha nwanadam kikiuma kimoja basi mwili wote unaathirika.
Niliwah kuumwa sikio nikiwa mdogo sana before kuanza primary ila kile kilio nakikumbuka hadi leo.
Hata ngiri.....Hujaumwa SIKIO,hujaumwa KIDOLE aka MDUDU.
Hujaumwa TUMBO
Hujaumwa JIPU
Asante sana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole na wewe
Hii nayo niliumwa utotoni sana,lakini mateso nayakumbuka.Hata ngiri.....
Ngiri s ndio henia??Asante sana.
Hii nayo niliumwa utotoni sana,lakini mateso nayakumbuka.
1.Ilikuwa siwez kula UPORO WA UBWABWA,sasa utotoni wenzio wanakula UBWABWA wewe unakula mihogo,ila chanzo ni ngiri.
2.Marufuku kuoga maji ya MVUA.
Kifupi nilikuwa naumwa sana,baridi saa 7 mchana,
Japo nilikuwa mdogo ila ule mbinyo naukumbuka,sikumbuk nilipona kwa dawa gani maana nilikuwa mdogo sana ila kuna mzee mwenye asili ya Ushelisheli alikuwa akiishi peke yake sasa mzee alikuwa akimwezesha ndo alifanya tiba nikapona,
NGIRI ikikushika kama unatembea unabak unaganda tu unaweza shindwa hata kukaa
Yeah,Ngiri s ndio henia??
Asante mkuu nakumbuka dawa ya sikio nilikosa ni bangi kuna mtu alinambia ukipata bangi mbichi uweke maji yake shida ikaja ntapata wapi bangi[emoji23] [emoji23] [emoji23] yan nilikuankama mjinga ninachoambiwa nipate ile relief sikio linauma jamani khaa na mwili wabinadam hauna shirika ukiumwa sikio jino had kichwa chote unaona sio chako
DuhYeah,
Na zipo za aina nyingi,
Kuna ya kuzamisha mbegu za P-humbu,kuna ya tumbo kuuma
Yeah wanasema yale maji yake yanatibuBangi mbichi ni dawa ya sikio
Shughuli hapo ni jino na sikioHujaumwa SIKIO,hujaumwa KIDOLE aka MDUDU.
Hujaumwa TUMBO
Hujaumwa JIPU
Ukipindwa ngiri utatoa kilio kama beberu!Mkuu, kuna sikio na pumbu....Mzee unalia kama mtoto
Ni kungoa tu aise mm mwenyewe nilikuwa mbishi lakini siku lilivyosema basi niliamka 10 alfajiri ili tu niwahi foleni jino linauma asikuambie mtumaumivu ya jino ni makali sana,jino linalouma ni la mbele ambalo niliwahi kuliziba.Nisaidieni tiba za asili kwa maana huenda itasaidia kuponyesha,kung'oa jino la mbele yahitaji moyo,natanguliza Shukran zangu kwenu nyote